Gorilla Zoo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 257
- 412
Mkuu nasikia inakwangua kuanzia midomo koo hadi utumboKaribuni konyagi pori aka gongo
mkuu hali ni mbaya
duhMachozi ya Simba Hapa kwa mama Mwailo mia3 tu...
www.mamamuuza.comWakuu tushauliane vinywaji gani vyenye stimu za fasta na bei nafuu maana viroba ndo vishapotea hivyo mtaani
Hizo ni hiana tuu mkuuuMkuu nasikia inakwangua kuanzia midomo koo hadi utumbo
duh kweli tunaisomaNina Arosto ya kiroba hapa ila hamna noma naanza kuvuta petrol sijui watafungia na wao