Kwa tukio la kujaribu kumteka Deo Tarimo tutaendelea kuwalaumu CHADEMA bure

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
3,359
6,333
Miaka ya karibuni CHADEMA kimekuwa kikiitisha maandamano na muitikio wake umekua ni almost zero

Wameibuka watu wengi wakilaumu chadema kwamba wanashindwa kuwashawishi watanzania bali ukweli umeonekana jana mubashara

Imagine mtu anatekwa mchana wa saa 8 watu wako pembeni wanashangaa tu alafu kuna limwanaume la hovyo namwita limwanaume la hovyo likapita pembeni ya gari anasikia sauti ya mtu anaomba msaada hafanyi chochote inakera sana

Tanzania tuna wanaume suruali wengi sana neno mwanaume sio kusimamisha na kumfikisha mwanamke kileleni hiyo ni tafsiri ndogo ya mwanaume., mwanaume ni neno pana sana ni mtu ambaye jasiri, mlinzi, asiyekubali kushindwa kirahisi, sio mwoga wa majukumu, sio mwoga wa matatizo hio ndo baadhi ya tafsiri ya mwanaume

Mfano kuna kipindi nilipanda daladala nikakaa siti ya nyuma yule dereva alikua anafukia mabamsi mara kwanza katurusha nikagonga pale juu nikajua kapitiwa mara ya pili tena, mara tatu ya tatu nilijikuta niko mbele ya gari nimezuiwa na watu sababu nilikua namfuata palepale kwenye siti yake

Cha ajabu ni abiria wachache walikua wananizui nisiende kwa dereva ila wengine wanashangaa japokua karibia wote siti ya nyuma tulikua wahanga wa vichwa vyetu kubamizwa tena zaidi ya mara mbili

Watanzania wengi ni mazombi ni wazuri kwenye kuongea na wengine wengi ni keyboard warrior lakini sio watapambanaji kabisa

Mfano wenyeviti wa serikali za mitaa wa upinzani wamekatwa kihuni watu hawajali kabisa nchi yetu tunawachia wahuni wachache wanaiharibu

Tutaendelea kumlaumu mbowe ila hatuna wapambanaji kila mtu anaamini kuna mtu atampambania.

Pia soma
 
Kosa kubwa ambalo unaweza kulifanya ni kumuachia MAISHA yako mtu mwingine.

Watu wengi huwa hawapendi kushiriki katika michakato /mchakato wa kutafuta kitu fulani Ila wapo tayari kulaumu matokeoa yatayopatikana.

Hapo umezungumzia utekaji watu hawapo tayari kuzuia hili tukio lisitokee Ila wapo tayari kulaumu kutekwa Kwa MTU .


Binafsi watekaji wawe makini na Kama wanajua waache huu mchezo na anayewatuma wamwambie tu ukweli kuwa Kazi aliyowapa ni ngumu Sana.

Maana katika utekaji madhara yanayopatikana ni makubwa Sana .

MTU Ana familia inamtegemea kuna watu amewaajiri wanamtegemea then unamteka ,unampoteza hii ni mbaya Sana.
 
Kosa kubwa ambalo unaweza kulifanya ni kumuachia MAISHA yako mtu mwingine.

Watu wengi huwa hawapendi kushiriki katika michakato /mchakato wa kutafuta kitu fulani Ila wapo tayari kulaumu matokeoa yatayopatikana.

Hapo umezungumzia utekaji watu hawapo tayari kuzuia hili tukio lisitokee Ila wapo tayari kulaumu kutekwa Kwa MTU .


Binafsi watekaji wawe makini na Kama wanajua waache huu mchezo na anayewatuma wamwambie tu ukweli kuwa Kazi aliyowapa ni ngumu Sana.
Wanafanya hivyo wakijua kabisa hawatapata upinzani kutoka kwa wananchi
 
Miaka ya karibuni chadema kimekua kikiitisha maandamano na muitikio wake umekua ni almost zero

Wameibuka watu wengi wakilaumu chadema kwamba wanashindwa kuwashawishi watanzania bali ukweli umeonekana jana mubashara

Imagine mtu anatekwa mchana wa saa 8 watu wako pembeni wanashangaa tu alafu kuna limwanaume la hovyo namwita limwanaume la hovyo likapita pembeni ya gari anasikia sauti ya mtu anaomba msaada hafanyi chochote inakera sana

Tanzania tuna wanaume suruali wengi sana neno mwanaume sio kusimamisha na kumfikisha mwanamke kileleni hiyo ni tafsiri ndogo ya mwanaume., mwanaume ni neno pana sana ni mtu ambaye jasiri, mlinzi, asiyekubali kushindwa kirahisi, sio mwoga wa majukumu, sio mwoga wa matatizo hio ndo baadhi ya tafsiri ya mwanaume

Mfano kuna kipindi nilipanda daladala nikakaa siti ya nyuma yule dereva alikua anafukia mabamsi mara kwanza katurusha nikagonga pale juu nikajua kapitiwa mara ya pili tena, mara tatu ya tatu nilijikuta niko mbele ya gari nimezuiwa na watu sababu nilikua namfuata palepale kwenye siti yake

Cha ajabu ni abiria wachache walikua wananizui nisiende kwa dereva ila wengine wanashangaa japokua karibia wote siti ya nyuma tulikua wahanga wa vichwa vyetu kubamizwa tena zaidi ya mara mbili

Watanzania wengi ni mazombi ni wazuri kwenye kuongea na wengine wengi ni keyboard warrior lakini sio watapambanaji kabisa

Mfano wenyeviti wa serikali za mitaa wa upinzani wamekatwa kihuni watu hawajali kabisa nchi yetu tunawachia wahuni wachache wanaiharibu

Tutaendelea kumlaumu mbowe ila hatuna wapambanaji kila mtu anaamini kuna mtu atampambania
Tatzo ule moto umetufubaza. Sema watu wa dar dosalale hahahah niwapuzzi
 
Kosa kubwa ambalo unaweza kulifanya ni kumuachia MAISHA yako mtu mwingine.

Watu wengi huwa hawapendi kushiriki katika michakato /mchakato wa kutafuta kitu fulani Ila wapo tayari kulaumu matokeoa yatayopatikana.

Hapo umezungumzia utekaji watu hawapo tayari kuzuia hili tukio lisitokee Ila wapo tayari kulaumu kutekwa Kwa MTU .


Binafsi watekaji wawe makini na Kama wanajua waache huu mchezo na anayewatuma wamwambie tu ukweli kuwa Kazi aliyowapa ni ngumu Sana.

Maana katika utekaji madhara yanayopatikana ni makubwa Sana .

MTU Ana familia inamtegemea kuna watu amewaajiri wanamtegemea then unamteka ,unampoteza hii ni mbaya Sana.
"Watu wengi huwa hawapendi kushiriki katika michakato /mchakato wa kutafuta kitu fulani Ila wapo tayari kulaumu matokeoa yatayopatikana."
 
Yote tunamuachia Mungu.Mungu atawaongoza Mbowe,Lissu na CHADEMA wanaojitambua watupiganie haki,maslahi na demokrasia yetu.
Dokezo la habari kwa-Lucas Mwashambwa popote anapojifuta bubujiko.
 
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Chanjo za Korona ukijumlisha na ule Mwenge wa uhuru kwishaaa kabisaa. Matanganyika yamegeuzwa kuwa manyumbuu ya kutupwaa!

Yaani ni mazombi, hakuna anayeweza kupambana. Kila mtu anatiririsha udenda kama taahira.

Hata wakoloni wakija muda huu tunatawaliwa kabisa tunafungwa na minyororo nchi nzima hakuna wa kufurukuta!

Tuliwaambia chanjo hazifai mkashupaza shingo, oooh chanjo ni uhai!!!! Mkome.

Cc: Dkt. Gwajima D. DR Mambo Jambo FaizaFoxy Nyani Ngabu
 
Chanjo za Korona ukijumlisha na ule Mwenge wa uhuru kwishaaa kabisaa. Matanganyika yamegeuzwa kuwa manyumbuu ya kutupwaa!

Yaani ni mazombi, hakuna anayeweza kupambana. Kila mtu anatiririsha udenda kama taahira.

Hata wakoloni wakija muda huu tunatawaliwa kabisa tunafungwa na minyororo nchi nzima hakuna wa kufurukuta!

Tuliwaambia chanjo hazifai mkashupaza shingo, oooh chanjo ni uhai!!!! Mkome.

Cc: Dkt. Gwajima D. DR Mambo Jambo FaizaFoxy Nyani Ngabu
Naam, umeniita?

Tatizo nini?
 
Spika wa Bunge aliukataa huu mjadala wa dharula pale Bungeni, Taifa linaangamia sasa ilipaswa kufikia sasa mtu mwenye dhamana awe ameachia ngazi hakuna aliye salama.
 
Wanafanya hivyo wakijua kabisa hawatapata upinzani kutoka kwa wananchi
Wananchi wenyewe ndo hawa wanapandishiwa nauli na mateja??? Hawahawa wanaopangwa kwenye madadala ? Kapande magali ya mbagala au goms utanielewa.
Msingi wa kwanza wa maendeleo ya nchibyeyote ile ni watu kujua haki zao?
Watu lazima wahoji y?
Tunafurahia vyama vya upinzani vile kwasababu hatuwezi wala hatutaki kuhoji kwann?
 
Wananchi wenyewe ndo hawa wanapandishiwa nauli na mateja??? Hawahawa wanaopangwa kwenye madadala ? Kapande magali ya mbagala au goms utanielewa.
Msingi wa kwanza wa maendeleo ya nchibyeyote ile ni watu kujua haki zao?
Watu lazima wahoji y?
Tunafurahia vyama vya upinzani vile kwasababu hatuwezi wala hatutaki kuhoji kwann?
Ulichoongea ni sahii kuna siku nilikuwa napita katibu na kituo cha dalala kondakta anasema nauli ni elfu ya hiyo route ambayo naijua ilihali ni mia nane huku watu wanapigania
 
Back
Top Bottom