Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,708
- 14,459
View: https://youtu.be/n7NOBfa2QVo?si=8pin2lnPFr1gw4Vh
Hamas wanadhani wanamkomesha yahoud, 😂 hawa wamekomeshwa miaka zaidi 2500 na bado wapo. Wasuburie round nyingine ngoja wakusanye nguvu.
Ahsante kwa taarifa msemaji mkuu wa Jeshi la wanamgambo wa Mbozina mwezi ujao Iran mfadhili wao anapigwa kipigo cha mbwa koko
Ndugu unaangalia ITV tu nini? ebu uwe unaangalia na channel za kimataifa , Netanyau na Trump wameshatangaza zaidi ya mara tatu ndani ya wiki moja, na meli ya mabomu mazito imeshaondoka philadefia kuelekea Israel , Imetangzwa na Aljazera tarehe 18 February, India wametangaza kupitia channel yao Cap , DW wametangaza, Tehran wameshajibu kuwa wanajipanga na wameshapeleka missile zao kwenye chambers zake hapo kuna siri tena wakati wanatangaza wenyewe?Ahsante kwa taarifa msemaji mkuu wa Jeshi la wanamgambo wa Mbozi