Kwa nini Simba hawajatumia uwanja wa Azam Compex, wakachagua kwenda Zanzibar kwenye mechi ya nusu fainali CaF?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,999
19,306
Uwanja wa Azam Complex unakidhi viwango vya kuchezewa mechi za kimataifa

Na Simba ni timu ya Dar es Salaam, mashabikk wake wengi wapo mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania bara, nadhangaa kwa nini Simba ikachagua kwenda Zanzibar ambako ni mbali na kugumu kufikiwa na mashabiki wake wengi?

Pia uwanja wa Aman unachukua watu takribani 12,000 tu

Mechi muhimu kama hii kwa nini Simba wanachagua uwanja bila kuzingatia haya?
 
Nimesikia kamishina wa michezo Zanzibar akidai Simba walipeni $75000 zaidi ya milioni 200.
Hako kauwanja hata kakae miaka mitani hajawezi kuingiza hizo pesa.
Juzijuzi wizara moja ya zanzbar imeingia mkataba na yanga huku wakiwasifia lakini viongozi wa Simba kwa kuendekeza siasa wamekuwa wakijikomba.
Kuanzia Sasa na wao wasishiriki mabinanza yao Kama mapunduzi mpaka walipwe kitita kubwa Cha pesa
 
Nimesikia kamishina wa michezo Zanzibar akidai Simba walipeni $75000 zaidi ya milioni 200.
Hako kauwanja hata kakae miaka mitani hajawezi kuingiza hizo pesa.
Juzijuzi wizara moja ya zanzbar imeingia mkataba na yanga huku wakiwasifia lakini viongozi wa Simba kwa kuendekeza siasa wamekuwa wakijikomba.
Kuanzia Sasa na wao wasishiriki mabinanza yao Kama mapunduzi mpaka walipwe kitita kubwa Cha pesa
Ina maana hakukua na makubaliano kwanza kabla ya Simba kutangaza kutumia huo uwanja?
 
Uwanja wa Azam Complex unakidhi viwango vya kuchezewa mechi za kimataifa

Na Simba ni timu ya Dar es Salaam, mashabikk wake wengi wapo mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania bara, nadhangaa kwa nini Simba ikachagua kwenda Zanzibar ambako ni mbali na kugumu kufikiwa na mashabiki wake wengi?

Pia uwanja wa Aman unachukua watu takribani 12,000 tu

Mechi muhimu kama hii kwa nini Simba wanachagua uwanja bila kuzingatia haya?
ule mwiko pale nyuma hauna nia njema na mnyama
 
Uwanja wa Azam Complex unakidhi viwango vya kuchezewa mechi za kimataifa

Na Simba ni timu ya Dar es Salaam, mashabikk wake wengi wapo mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania bara, nadhangaa kwa nini Simbaaza ikachagua kwenda Zanzibar ambako ni mbali na kugumu kufikiwa na mashabiki wake wengi?

Pia uwanja wa Aman unachukua watu takribani 12,000 tu

Mechi muhimu kama hii kwa nini Simba wanachagua uwanja bila kuzingatia haya?
Azam complex walisha peleka mbuzi pia ila wakajua kama walidunda,hivyo wanajaribu kwingine.
 
Azam complex sio natural grass, haupo katika standards za CAF
CAF hawana shida na Nyasi bandia, Mashindano ya FIFA ndio hayaruhusiwi kuchezwa kwenye nyasi bandia.

Ninachofahamu Simba kutokana na mambo yao ya kitamaduni hawataki kuchezea uwanja wa Azam kwakua wanasema wanapata Matokeo kwa shida sana.

Ni ushirikina tu ndio unawafanya wasicheze Chamazi ata Mechi ya Azam na Simba ilipelekwa Benjamin Mkapa.

Katika Mechi zao lazima wafukie makafara katika eneo la kuchezea Sasa eneo la kuchezea uwanja wa Azam ni Artificial grass ili ufukie kafara inabidi uchimbe lile zuria na ujinga uo Azam awataki na Simba waka amua mechi zao wasi chezeee apo.

Pale Benjamin Mkapa yule Meneja wa uwanja uwa wanagombana nae kwa ishu izo za kufukia makafara.

Inafikia muda ata yule Meneja wa uwanja wanadai kwenye mechi zao awe anachukua likizo ili awapishe wafanye yao.
 
CAF hawana shida na Nyasi bandia, Mashindano ya FIFA ndio hayaruhusiwi kuchezwa kwenye nyasi bandia.

Ninachofahamu Simba kutokana na mambo yao ya kitamaduni hawatakibkuchezea uwanja wa Azam kwakua wanasema wanapata Matokeo kwa shida sana.

Ni ushirikina tu ndio unawafanya wasicheze Chamazi ata Mechi ya Azam na Simba ilipelekwa Benjamin Mkapa.
Chamazi haikidhi viwango vya mechi kuanzia robot fainali japo makundi ni sawa
 
Chamazi haikidhi viwango vya mechi kuanzia robot fainali japo makundi ni sawa
Katika taratibu za CAF wakisha ukagua na ku upitisha uwanja awana ishu za kuchezea makundi au robo.
Wao Wana kagua vigezo walivyo weka tu uki kidhi ata fainali inaweza kuchezwa
 
Nimesikia kamishina wa michezo Zanzibar akidai Simba walipeni $75000 zaidi ya milioni 200.
Hako kauwanja hata kakae miaka mitani hajawezi kuingiza hizo pesa.
Juzijuzi wizara moja ya zanzbar imeingia mkataba na yanga huku wakiwasifia lakini viongozi wa Simba kwa kuendekeza siasa wamekuwa wakijikomba.
Kuanzia Sasa na wao wasishiriki mabinanza yao Kama mapunduzi mpaka walipwe kitita kubwa Cha pesa
Soma ulichoandika
 
CAF hawana shida na Nyasi bandia, Mashindano ya FIFA ndio hayaruhusiwi kuchezwa kwenye nyasi bandia.

Ninachofahamu Simba kutokana na mambo yao ya kitamaduni hawataki kuchezea uwanja wa Azam kwakua wanasema wanapata Matokeo kwa shida sana.

Ni ushirikina tu ndio unawafanya wasicheze Chamazi ata Mechi ya Azam na Simba ilipelekwa Benjamin Mkapa.

Katika Mechi zao lazima wafukie makafara katika eneo la kuchezea Sasa eneo la kuchezea uwanja wa Azam ni Artificial grass ili ufukie kafara inabidi uchimbe lile zuria na ujinga uo Azam awataki na Simba waka amua mechi zao wasi chezeee apo.

Pale Benjamin Mkapa yule Meneja wa uwanja uwa wanagombana nae kwa ishu izo za kufukia makafara.

Inafikia muda ata yule Meneja wa uwanja wanadai kwenye mechi zao awe anachukua likizo ili awapishe wafanye yao.
🐸🐸🐸Mtaumia sanaaa
 
Umbali siyo issue kwa mashabiki lialia!

Mapinduzi cup tu watu wanaifuata timu huko,itakuwa nusu fainali ya shirikisho.

Wazanzibar wenyewe timu zao ni hizi za Kariakoo.
 
Azam complex unaruhusiwa kwenye atua za awali za mashindano ya cff, kuanzia robo fainal hauna vigezo
 
Nawasiwasi. Sana na huo uwanja sjui kwanini nafsi inahs kama matokeo hayatokua mazuri upande wetu wana lunyasi.itoshe kusema SIMBA nguvu moja🦁🦁
 
CAF hawana shida na Nyasi bandia, Mashindano ya FIFA ndio hayaruhusiwi kuchezwa kwenye nyasi bandia.

Ninachofahamu Simba kutokana na mambo yao ya kitamaduni hawataki kuchezea uwanja wa Azam kwakua wanasema wanapata Matokeo kwa shida sana.

Ni ushirikina tu ndio unawafanya wasicheze Chamazi ata Mechi ya Azam na Simba ilipelekwa Benjamin Mkapa.

Katika Mechi zao lazima wafukie makafara katika eneo la kuchezea Sasa eneo la kuchezea uwanja wa Azam ni Artificial grass ili ufukie kafara inabidi uchimbe lile zuria na ujinga uo Azam awataki na Simba waka amua mechi zao wasi chezeee apo.

Pale Benjamin Mkapa yule Meneja wa uwanja uwa wanagombana nae kwa ishu izo za kufukia makafara.

Inafikia muda ata yule Meneja wa uwanja wanadai kwenye mechi zao awe anachukua likizo ili awapishe wafanye yao.
Yani mnapenda sana kuropokaropoka hovyo na mnatumia nguvu kubwa sana kueneza propaganda zenu dhidi ya simba, kwa vile ninyi mmezoea ushirikina wenu wa kupitia milango isiyo rasmi basi mnadhani kila timu inafanya uchawi kama ninyi, ile mechi ya simba na azam round ya kwanza azam ndio walikuwa wenyeji na waliipeleka huko aman zanzibar badala ya chamazi sijui sababu zao zilikuwa ni zipi, mechi yao ya round ya pili simba ndio walikuwa wenyeji hivyo ilibidi ichezwe kmc ila ndio ikapelekwa kwa mkapa na sidhani kama sababu ni ushirikina bali labda ilikuwa kutaka kuongeza idadi ya mashabiki tu, hizo sababu za kuhama uwanja kisa ushirikina ni ninyi ndio mlizitoa halafu mnawasingizia simba msivyo na aibu
 
CAF hawana shida na Nyasi bandia, Mashindano ya FIFA ndio hayaruhusiwi kuchezwa kwenye nyasi bandia.

Ninachofahamu Simba kutokana na mambo yao ya kitamaduni hawataki kuchezea uwanja wa Azam kwakua wanasema wanapata Matokeo kwa shida sana.

Ni ushirikina tu ndio unawafanya wasicheze Chamazi ata Mechi ya Azam na Simba ilipelekwa Benjamin Mkapa.

Katika Mechi zao lazima wafukie makafara katika eneo la kuchezea Sasa eneo la kuchezea uwanja wa Azam ni Artificial grass ili ufukie kafara inabidi uchimbe lile zuria na ujinga uo Azam awataki na Simba waka amua mechi zao wasi chezeee apo.

Pale Benjamin Mkapa yule Meneja wa uwanja uwa wanagombana nae kwa ishu izo za kufukia makafara.

Inafikia muda ata yule Meneja wa uwanja wanadai kwenye mechi zao awe anachukua likizo ili awapishe wafanye yao.
Na yanga waliondoka azam complex shida ikiwa ni nini labda?
Naona unauelewa mzuri sana na mpira wetu wa nyumbani
 
Back
Top Bottom