kwa nini nokia x3-00 hazisapoti whatsapp lakini nokia x3-02 zinasapoti

Sio kwamba X3-00 haiwezi kabisa ila wao tu huwa wana amua kufanya hivyo
sielewi wana sababu gani binafsi mpaka wanafanya hivi...
.
Mfano
Nokia N73 ina uwezo wa ku run Whatsapp ila hawaja amua iweze kufanya hivyo
.
Sababu wata kuambia ni old phone....... Kitu ambacho haki make sense kwamba ni sababu kuu!
.
Tuje kwenye Asha 200 na Asha 201
.
Asha 201 ina Download Whatsapp tena directly kabisa kutoka kwenye website yao whatsapp
.
Ukija kwenye Asha 200 ina uwezo wa ku run Whatsapp ila kamwe huwezi Download kutoka kwenye website yao mpaka upitie njia za Kihuni!
.
Ila hii Asha 200 Hawaja amua tu nayo eti sababu utasikia ni inatumia two sim card.......
.
Sababu ambayo hai make sense kabisa
.
Ndipo utakuja tena kwenye X2-01 na X2-02
X2-01 ina run Whatsapp lakini X2-02 hai run
.
Sababu wana zijua wao wenyewe
.

.
 
Internal memory ya X3-00 ni 46MB wakati X3-02 ni 128MB na toleo lingine la X3-02 linafika MB 256.Nadhani umeiona tofauti.
 
Back
Top Bottom