Kwa mila za kiafrika mkubwa hakosei

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,506
Maelekezo magumu; waafrika mila yetu ni kwamba: mkubwa hakosei. tunasibiri muda utuponye. "time is a great healer". kutokana na uhaba wa mvua nchi nzima inawezekana baadaye njaa ikalikumba taifa na kama itakuwa hivyo kama wawakilishi wa wapiga kura wenye njaa tutalazimika kusema na kuenda kinyume na mila yetu wenyewe na sijui. kwa sasa mkubwa hakosei. hayo ndiyo maoni yangu.. usiyatoe nje ya mtandao wetu huu maana hamkawii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…