Kwa kweli nimeelewa ni kwanini Rais na Serikali yake inapigwa vita sana

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,641
11,958
Watumishi hewa Eluf 17 watu walikuwa wakinufaika kwa kiasi kikubwa sana, huku wakijifanya kutetea haki za wanyonge.

Wenye vyeti feki ni zaidi ya Eluf 12. Hii ni Idadi kubwa sana.
Kwa hali sasa nimeelewa ni kwanini Rais na Serikali yake inapigwa vita sana.

Kumbe wanaomponda Rais si wakeleketwa wa Vyama tu, kumbe kuna hili kundi kubwa nyuma yake.
Natanguliza pole kwa JPM kwa mashambulizi yatayo kupata.

Swali la kujiuliza je;
Kutokukagua vyeti vya wanasiasa ni sahihi??.
Hili liangaliwe upya.
 
Shaka yetu inakuja pale ambapo kwa vyeti feki hivyo hivyo hataki kumtumbua bashite..

Tunampenda sana rais ila kwa hili ametuvunja nguvu kwa kweli
Bashite ni Mwanasiasa.!!
 
Mi nadhani kwa aliyeombwa kazi na bashite na akapokea vyeti vyake ndio anahaki yakumshitaki mpaka sasa nafuatilia mzozo kuhusu bashite lakini hakuna aliuewahi kunesha vyeti vya bashite vinavyosemwa ni feki zaidi ya porojo za gwajima na kimambi
 
Ndege huliwa kwa majina na kuna wa kifuani na mgongoni.kama hiki sio kipindi chako hutapata ila kama ni wakati wako utapata hewa sana.mambo ni magumu ila kipindi hiki unaambiwa kuna watu wanapiga dili kwelikweli kama huamini muulize jirani yako
 
Bashite ni msimamizi na elimu aliyonayo haiusiani na ngazi aliyonayo kwasababu taaluma ndo inaongoza kaz ya kitaaluma, mfano fundi umeme kazima awe amesomea ufundi umeme ndo aweze kupewa kitengo, ila sio kwa kiongoz wa kisiasa
 
Me nataka kujua tyuu wale waliotumbuliwa Mara ya kwanza karbia watu elfu 18 nafac zao wapo wakina nanii???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…