johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,715
Wakati wa Nyerere alihakikisha Vijana Wote wanaingizwa katika Siasa kupitia mifumo mbalimbali Ili iwe rahisi kuwadhibiti ndio Mbowe akapewa jukumu la Disco na John Komba akapewa Kwaya na Maigizo
Kadhalika Vilabu vya mpira wa miguu na netball
Watu wazima palikuwepo Jazz band mfano Tancut Almasi, UDA Jazz, Bima Lee, DDC Mlimani Park( Controller), Juwata, Vijana Jazz Air Pambamoto nk.
Zama hizi kundi kubwa sana la Vijana limejikita kwenye Kamari na Kubet, Ogopa sana Hili kundi
Mlale Unono 😃!
Kadhalika Vilabu vya mpira wa miguu na netball
Watu wazima palikuwepo Jazz band mfano Tancut Almasi, UDA Jazz, Bima Lee, DDC Mlimani Park( Controller), Juwata, Vijana Jazz Air Pambamoto nk.
Zama hizi kundi kubwa sana la Vijana limejikita kwenye Kamari na Kubet, Ogopa sana Hili kundi
Mlale Unono 😃!