Kwa jinsi pikipiki zinavozidi kupoteza wapendwa wetu sijui kwanini serikali iliona kama ni biashara

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
5,782
14,588
Nimepoteza mtu naye mfahamu leo huko Mwanza na mtumishi ambaye bado tunamuhitaji.

Yote haya kila siku tukizidi kupoteza ndugu zetu na wengine kuwa walemavu wa maisha sababu ya hizi pikipiki.

Serikali hakuna mazingira mazuri ambayo yamempa mwendesha chombo cha pikipiki husasani hawa bodaboda kama mtaji wenu.

Wengi waliokimbilia ajira hii na ugumu wa maisha hakuna mwenye elimu na kuendesha chombo hiki sababu asilimia kubwa hakuna wenye leseni.

Waendesha boda wengi wamejikatia tamaa na wenye uchungu na kutafuta mkate mpaka kufkia kupelekea a jato za vifo na ulemavu.

Bado samia anazidi kuziongeza kwenye kampeni

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Waziri Mchengerwa, leo hii bodaboda wamekuwa “Maafisa Usafirishaji”?
 
waendelee kufa tu si uzembe wao. huwezi kulaumu kazi ya bodaboda wakati watu wamewezeaha maisha yao kupitia hizo pikipiki. Ukiwa mzembe lazima ufe
 
mimi nina pikipiki tvs sijawahi pata ajali na nina mizunguko from kigamboni to kariakooo kila siku ni mara chache sana kutoka na gari labda nikiwa na familia nina uzoefu wa zaidi ya miaka 19 na sijawahi pata ajali zaidi ya kupita kwenye dimbwi la maji kumbe katikati kuna mawe (uzembe wangu) nikaanguka mbali na hapo sijawahi gonga au kusababishiwa ajali au kuumizwa na pikipiki
 
Nimepoteza mtu naye mfahamu leo huko mwanza na mtumishiambaye bado tuna muitaji.

Yote haya kila siku tukizidi kupoteza ndugu zetu na wengine kuwa walemavu wa maisha sababu ya hizi pikipiki.

Serikali hakuna mazingira mazuri ambayo yamempa mwendesha chombo cha pikipiki husasani hawa bodaboda kama mtaji wenu.
Wengi waliokimbilia ajira hii na ugumj wa maisha hakuna mwenye elimu na kuendesha chombo hiki sababu asilimia kubwa hakuna wenye leseni.

Waendesha boda wengi wamejikatia tamaa na wenye uchungu na kutafuta mkate mpaka kufkia kupelekea a jato za vifo na ulemavu.

Bado samia anazidi kuziongeza kwenye kampeni

Ile Kazi iliyoitwa na mdau kuwa ni laana ndiyo hii hii?
 
PIKIPIKI KAMA CHOMBO HAKINA TATIZO.

TATIZO LIKO KWA WAENDESHAJI
-hawajui taratibu na sheria za barabarani.Na hawataki kujua
-hawatumii/hawana akili za kuzaliwa, kuna wakati unatakiwa kuwa mvumilivu, kuwa na subira, unapotumia barabara. wao muda wote ni kukimbia, kuwasha full, na kupiga music kwa sauti kubwa.

TATIZO KWA ABIRIA
-una anzaje kukodisha pikipiki mtu kavaa ndala, ananuka mdomo, ananuka pombe, hajachana nywele(Mavazi yako ni kioo cha uhalisia wako)
-mtu anakuenseha kamafurushi na uko kimya unategemea nini ?
 
Pole ila ume waongelea hao bodaboda as if ni watu wenye manners saana kumbe ni washenzi wa kwanza.. wengi ufa na uuwa abiria wao kwa uzembe wao they act as if they're so special fck them .
View attachment 3050329
 
Usafiri wa kipumbavu sana huo.

Binafsi nilishastaafu kupanda hayo majeneza kitambo sana. Ni kheri nitembee kwa miguu.

Huku Arusha wanavyoziendesha aisee.. alaf wakianguka wanavyojua kulia sasa.
 
Back
Top Bottom