Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,839
- 3,838
Kwema Wataalam !
Ndio linapokuja swali... Hivi mnaosema unawekeza kwa mwanamke una moyo imara vya kutosha kihimiri tukio atakalokutandika nao. Hapo chini nimeweka tu baadhi ya Comments za wadada asee ni balaa.
Ushauri kwa wanaume wenzangu, Kama unataka kuwekeza na kuweka akili yako kwa mwanamke basi hakikisha huyo Mwanamke ni Mwanao au dada yako au basi Mama yako. Watu siku hizi ku cheat wameiona kama fashion. Mnaowekeza kwa wake zenu endeleeni, Nipo hapa kuwacheka mkiugulia matukio.
Ndio linapokuja swali... Hivi mnaosema unawekeza kwa mwanamke una moyo imara vya kutosha kihimiri tukio atakalokutandika nao. Hapo chini nimeweka tu baadhi ya Comments za wadada asee ni balaa.
Ushauri kwa wanaume wenzangu, Kama unataka kuwekeza na kuweka akili yako kwa mwanamke basi hakikisha huyo Mwanamke ni Mwanao au dada yako au basi Mama yako. Watu siku hizi ku cheat wameiona kama fashion. Mnaowekeza kwa wake zenu endeleeni, Nipo hapa kuwacheka mkiugulia matukio.