Bado itakuwa kathubutu!Itafika 2020 hivi hivi bila chochote.
Kama ni wewe sikushangai mkuuBado itakuwa kathubutu!
Shangilieni hila hampati kitu malengo yake ni kununua ndege na kujenga reli ya kwenda chato.
Ukianza kujitegemea hutaandika ujinga kama huu tena.Ni kweli acha hela ipotee kwanza anyoooshe nchi
Mmh???? mkuu unanitisha !!! HahahaaaUkianza kujitegemea hutaandika ujinga kama huu tena.