Kwa hali hii Lissu kweli ana msimamo?

kunowa

Member
Oct 30, 2024
33
46
Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
 
Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
Naendelea kukupiga spana we bichwa box ruzuku haitokani na maridhiano bali idadi ya kura alizopata mgombea urais wa chadema ambaye ni tundu lisu, tulia kijana utaloweshwa.
 
Labda anaandaa utaratibu wa kuziharamisha na kuzirudisha
 
Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
Kumbe hujui kitu. Ruzuku ya chama inatokana na uwiano wa kura za uraisi.
 
Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
WEWE NI MPUMBAVU.
 
Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
Duh, yaani wabunge wa viti maalum ndiyo wameleta ruzuku? Hivi unajua hao wabunge wa viti maalum wanapatikana kwa vigezo gani? Na siyo kweli kuwa Lissu ameyapiga maridhiano bali alichokuwa anapinga ni CCM kutokuwa waaminifu katika mjadala mzima wa maridhiano yaani CCM walikuwa wana buy time siku ziende kuelekea uchaguzi mkuu bila kugusa zile core issues ambazo ni reforms.Umekurupuka tu.
 
Back
Top Bottom