Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bra-joe

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,615
1,111
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
 
Mungu aliugeuza Moyo wa Farao kua mgumu hata asielewe nyakati na matukuo yake .


Dola ikijiuliza , Vyama vingapi Afrika vya ukombozi, vimeanguka na vimeangukaje?.

Sio lazima Nchi iwe kama Nchi zingine .

Hata Dola itumie nguvu Kwa Upinzani, Nyakati zinataka Mabadiliko .

Ikubali, Mabadiliko ya Sheria za uchaguzi na Tume huru.
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....

Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Tundu Lissu, Viva forever
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Mimi BushDokta naunga mkono hoja zako na kama vyombo vinajali basi ushauri huu ni sawa

Imagine

1.Mkurugenzi Mtendaji wa NEC ni CCM
2. Wajumbe wa NEC ni ccm
3. Polisi wanaolinda Kura ni wateule wa ccm
4. Wasimamizi wa Uchaguzi ni ccm
5. Usalama wa Taifa ambai kimsingi ni wadau kwenye mambi ya kitaifa wana influence ya uccm kwa kiasi flani.

6. Mifumo ya kukusanya na kuhesabu kura ni ya ccm
7. Wajumbe na wagombea wakidai haki wakati wa zoezi wanadhulika na kushambuliwa wengine hadi kufa.

Ktk Mazingira kama haya unaposema unashriki uchaguzi ili iweje?
Unless una maslahi huo uchaguzi zaidi ya ushindi ndipo utashiriki.

Hoja za Lissu ziko Valid for 100%.

Anayezipinga sio Mzalendo
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Katika vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama nina imani na JW tu lakini TISS na Polisi ni wahalifu wenza wa CCM katika kuvuruga chaguzi za Nchi hii, wangesimama kwenye nafasi zao bila kuipa CCM mbeleko katika uhalifu wao wa wizi wa kura nchi yetu ingeheshimika sana.
 
Katika vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama nina imani na JW tu lakini TISS na Polisi ni wahalifu wenza wa CCM katika kuvuruga chaguzi za Nchi hii, wangesimama kwenye nafasi zao bila kuipa CCM mbeleko katika uhalifu wao wa wizi wa kura nchi yetu ingeheshimika sana.
Endelea kuviamini Vyombo vyetu vya Usalama ndio maana Nchi yetu ni tulivu
 
Mimi BushDokta naunga mkono hoja zako na kama vyombo vinajali basi ushauri huu ni sawa

Imagine

1.Mkurugenzi Mtendaji wa NEC ni CCM
2. Wajumbe wa NEC ni ccm
3. Polisi wanaolinda Kura ni wateule wa ccm
4. Wasimamizi wa Uchaguzi ni ccm
5. Usalama wa Taifa ambai kimsingi ni wadau kwenye mambi ya kitaifa wana influence ya uccm kwa kiasi kikubwa.

6. Mifumo ya kukusanya na kuhesabu kura ni ya ccm
7. Wajumbe na wagombea wakidai haki wakati wa zoezi wanadhulika na kushambuliwa wengine hadi kufa.

Ktk Mazingira kama haya unaposema unashriki uchaguzi ili iweje?
Unless una maslahi huo uchaguzi zaidi ya ushindi ndipo utashiriki.

Hoja za Lissu ziko Valid for 100%.

Anayezipinga sio Mzalendo
...Na 5 wao ndio wanaiongoza ccm au ndio wenye ccm.
 
Habari Ndugu zanguni,


Nadhani wote tumemsikia Tundu Lisu akitoa hoja zake kuhusu chaguzi zetu. Tukiacha ushabiki pembeni na kuwa Wazalendo, tutaona kwamba hoja zake ni za Kitaifa, haziegemei upande wowote wa kisiasa au kidini. Lengo lake ni kutoa mwongozo wa nini tunapaswa kufanya kama Taifa ili tuendelee kuwa na amani na kupata maendeleo ya kweli kwa Watanzania wote.

Mambo matatu ambayo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinapaswa kufanya ni:

  1. Wakuu wote wa ulinzi na usalama wa Kitaifa wakutane na Rais na kumshauri akubali kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayorekebisha mapungufu ya chaguzi zetu.
  2. Wakae pembeni na kuwaacha wanasiasa wabishane kwa hoja majukwaani bila upendeleo kwa upande wowote. Endapo upande mmoja utaamua kufanya maandamano ya amani kuishinikiza Serikali kurekebisha vifungu vya Katiba ili chaguzi zetu ziwe huru na haki, basi vyombo vya ulinzi na usalama visiingilie maandamano hayo, bali vitoe ulinzi tu.
  3. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananchi kwamba vipo kwa maslahi ya Taifa, si kwa chama fulani cha siasa.
Nonesense!!! Mavi matupu!!
 
Mimi BushDokta naunga mkono hoja zako na kama vyombo vinajali basi ushauri huu ni sawa

Imagine

1.Mkurugenzi Mtendaji wa NEC ni CCM
2. Wajumbe wa NEC ni ccm
3. Polisi wanaolinda Kura ni wateule wa ccm
4. Wasimamizi wa Uchaguzi ni ccm
5. Usalama wa Taifa ambai kimsingi ni wadau kwenye mambi ya kitaifa wana influence ya uccm kwa kiasi kikubwa.

6. Mifumo ya kukusanya na kuhesabu kura ni ya ccm
7. Wajumbe na wagombea wakidai haki wakati wa zoezi wanadhulika na kushambuliwa wengine hadi kufa.

Ktk Mazingira kama haya unaposema unashriki uchaguzi ili iweje?
Unless una maslahi huo uchaguzi zaidi ya ushindi ndipo utashiriki.

Hoja za Lissu ziko Valid for 100%.

Anayezipinga sio Mzalendo
Mimi navingoje vyama 13 vyama Rafiki na CCM vitakuja na tamko gani. Na mwambukusi alitishia kuvishtaki hivi vyama ili vifutwe sijui aliishia wapi. Siamini kama Lisu akianza mikutano yakuhamasisha watu wasishiriku uchaguzi wa Mwaka huu kama hakuna Mabadiliko. Serikali itamkubalia afanye mikutano. Ila kusema ukweli chaguzi humu nchini mwetu ni kiini macho hata watu wote wasiende kupiga kura utashangaa, idadi ya watu waliopiga kura wamezidi hata malengo waliojiwekea. Kwahiyo kikubwa siyo kuwahamasisha watu tu wasitoe ushirikiano na tume ya ushaguzi Bali watu wahakikishe kweli wanareact kiasi serikali ijue kuwa sasa watu wameamka la sivy,, yo utasikia wabunge na raisi ameshinda kwa kishindo. Najua siku ya uchaguzi majeshi yote yatakuwa kazini ila hilo lisiwe kikwazo lakutokufanikisha lengo
 
Mimi navingoje vyama 13 vyama Rafiki na CCM vitakuja na tamko gani. Na mwambukusi alitishia kuvishtaki hivi vyama ili vifutwe sijui aliishia wapi. Siamini kama Lisu akianza mikutano yakuhamasisha watu wasishiriku uchaguzi wa Mwaka huu kama hakuna Mabadiliko. Serikali itamkubalia afanye mikutano. Ila kusema ukweli chaguzi humu nchini mwetu ni kiini macho hata watu wote wasiende kupiga kura utashangaa, idadi ya watu waliopiga kura wamezidi hata malengo waliojiwekea. Kwahiyo kikubwa siyo kuwahamasisha watu tu wasitoe ushirikiano na tume ya ushaguzi Bali watu wahakikishe kweli wanareact kiasi serikali ijue kuwa sasa watu wameamka la sivy,, yo utasikia wabunge na raisi ameshinda kwa kishindo. Najua siku ya uchaguzi majeshi yote yatakuwa kazini ila hilo lisiwe kikwazo lakutokufanikisha lengo
Vile vyama vya kwenye Flash kama anavyosema Yericko Nyerere🤣🤣
 
Back
Top Bottom