pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 257
- 509
We jamaa hujawahi Acha ku reply upuuzi, kama kungekuwa na namna nyingine ya kum trace isinge kuwa this viralKwani huyo jamaa yako hana kitambulisho cha NIDA ambacho kina taarifa zake zote hadi kijijini kwao?.
SawqWe jamaa hujawahi Acha ku reply upuuzi, kama kungekuwa na namna nyingine ya kum trace isinge kuwa this viral
AminaMwenyezi mungu amjalie kwa kila hatua🙏
Kuna namna ukipata ajali zinazofanana, maumbile huwa sawa.Hii sura ni ya boda boda, hope ndugu watampata
Wanaposema ANAJITAMBUA lakini Hana KUMBUKUMBU am little bit confused
KIswahili Kigumu aisee 🤣Wanaposema ANAJITAMBUA lakini Hana KUMBUKUMBU am little bit confused 🤔
Jambo Usemalo Nalo MNH Walikuwa Wanapenda Bill Kubwa Mpaka InaogofyaNdugu hawaji, wanaogopa bili
Ingekuwa kalazwa Bugando ningewaomba wajitokeze tu halafu nikawaelekeza namna ya ku-escape bila kulipa biliNdugu hawaji, wanaogopa bili
Absolutely true.Ndugu hawaji, wanaogopa bili
Wajitathmini Nini? Wanaopaswa kujitathmini ni Wananchi wenyewe wala siyo Watu wa CCM. Hivi CCM wasinunue 'mashangingi' ya kufanyia safari za anasa unataka wajihangaishe na hao Watu ambao wameshindwa kujilipia bill ya matibabu huko mahospitalini!"Anajielwa lakini amepoteza kumbukumbu"
Hapo huenda ndugu zake wamejificha na Mwamba kaamua kufake kama hawajui ndugu zake ili kuwaepusha na mzigo wa bills,
Kuna namna viongozi wa CCM inabidi wajitathmini .