Kwa anayemfahamu mgonjwa aliyepo pichani atoe taarifa

pombe kali

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
257
509
Kama picha inavyojieleza

GOq9_3kWAAApZSy.jpeg
 
"Anajielwa lakini amepoteza kumbukumbu"

Hapo huenda ndugu zake wamejificha na Mwamba kaamua kufake kama hawajui ndugu zake ili kuwaepusha na mzigo wa bills,

Kuna namna viongozi wa CCM inabidi wajitathmini .
Wajitathmini Nini? Wanaopaswa kujitathmini ni Wananchi wenyewe wala siyo Watu wa CCM. Hivi CCM wasinunue 'mashangingi' ya kufanyia safari za anasa unataka wajihangaishe na hao Watu ambao wameshindwa kujilipia bill ya matibabu huko mahospitalini!
 
Back
Top Bottom