Kuwa na mtu halisi kando yako ni kitu ambacho hakiwezi kununuliwa

Nashangaa pia unakuta mtu anatoa 5 millions eti mahali kwa mwanamke.
 
Sipendi kuwa na marafiki bro coz wameshanizulu sana mimi nimejiweka kama rafiki wa kwanza na ndugu wa kwanza.. nina safa sana kumpata mtu mkweli
Pole sana mkuu!

Jifunze kusimama mwenyewe.
 
Mkuu Acha tu lkn nikija jukwaani huwa nafarijika sana
pole sana mkuu, itabidi move on na watu wote negative hawa ni watu wa kutokuongea nao sana yani ni maneno mawili matatu siku zinaenda lakini ukiwaweka karibu na wewe kwenye njia zako utapata tabu sana jaribu kuwa balance utapunguza stress nao
 
Nashangaa pia unakuta mtu anatoa 5 millions eti mahali kwa mwanamke.
Katu siwezi nasijui kama ninafikiria hata kuoa.. sijui umuhimu wa ndoa ni upi nyakati hizi ambazo watu wanaangalia maslah zaid
 
Unaamaanisha hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20241227-163447.jpg
    Screenshot_20241227-163447.jpg
    157 KB · Views: 2
Mtu mkweli kwako yoyote yule ulieamua kumuamini kisha yeye asiwe mwaminifu kama ulivyo tarajia.. anaweza akawa mpenzi,rafiki au hata ndugu
Pole Sana mkuu, Mimi Nina principle yangu 1 huwa inanisaidia Sana siweki MATARAJIO MAKUBWA kwa mtu yoyote Yule hata mzazi wangu!
 
Back
Top Bottom