Habari zenu,
Kuna siku nilipost humu natoka harufu mbaya hadi mke wangu anasema ya kizee. Baada ya uchunguzi wa kina nimegundua ni sehemu za siri yaani kuanzia kwenye korodani na pembeni yake hizi kona za mapaja wa kike wangesema mstari wa chupi unapopita kutenganisha kinena na paja, nimetaja wanawake sababu sikuhizi sijawahi ona duka linauza chupi za kiume kama lipo naomba mnielekeze.
Sasa ndugu zangu naombeni msaada dawa gani itanisaidia?
Miaka mitano iliyopita nilifanikiwatibu fungus zilizonitesa zaidi ya miaka 4,hizi zilisababishwa na kuvaa nguo za ndani mitumba na pia kuvaa nguo bila kujikausha ukitoka kuoga.
Naombeni dawa itakayomalizia ili tatizo japo nilisha pona fungus na wala haziwashi sana nimehisi itakuwa bado harufu I natokea huko.
Asanteni
Kuna siku nilipost humu natoka harufu mbaya hadi mke wangu anasema ya kizee. Baada ya uchunguzi wa kina nimegundua ni sehemu za siri yaani kuanzia kwenye korodani na pembeni yake hizi kona za mapaja wa kike wangesema mstari wa chupi unapopita kutenganisha kinena na paja, nimetaja wanawake sababu sikuhizi sijawahi ona duka linauza chupi za kiume kama lipo naomba mnielekeze.
Sasa ndugu zangu naombeni msaada dawa gani itanisaidia?
Miaka mitano iliyopita nilifanikiwatibu fungus zilizonitesa zaidi ya miaka 4,hizi zilisababishwa na kuvaa nguo za ndani mitumba na pia kuvaa nguo bila kujikausha ukitoka kuoga.
Naombeni dawa itakayomalizia ili tatizo japo nilisha pona fungus na wala haziwashi sana nimehisi itakuwa bado harufu I natokea huko.
Asanteni