Pre GE2025 DSM Kutoka Mwananyamala Hospitali: Viongozi wa Chadema Waliovunjwa Miguu hawa hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aibu Kubwa Sana Kuvunja Watu Miguu
Mahakama Zipo Mmeshindwaje Kuwapeleka
Mnajichukulia Sheria Mkononi Kweli
Inafikirisha Sana mtu mwenye utashi kufanya mambo ya kinyama ( hao ni polisi au kikundi Cha wahuni)

Inashangaza Sana poor Tanzania ni kukosa uzalendo wa kiwango Cha SGR ...

HAO MAASKARI NI WAVUTA BANGI/ WALEVI FROM FOUR FAILURE

FROM NO WHERE HUWEZI ANZA MUMSHAMBULIA RAIA ASIYE HATA NA MANATI NA KUMVUNJA MIKONO MIGUU NIJAMBO LAKUKEMEWA KWA KILA MLITAKIA MEMA TAIFA LETU.

#REVENGE IZ INEVITABLE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…