Kutoka Mianzini - Mapinga km ni 10, kuna vituo 13 vya petrol station

Stuxnet

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
13,298
23,071
Screenshot_20250211_052736_Maps.jpg


Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
 
View attachment 3232757

Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Usisahau Maili Moja hadi Madafu pale Mlandizi.....
 
Hiyo inafahamika kwa Morogoro road. Hì ni ya Bagamoyo road
Ina maana kuna faida njia nzuri kuw3ka mtaji wako uzunguke taratibu lakini uhakika....sio bure...tujiongeze tufungue zile za kawaida nje ya mji huko maisha yasonge ....kuna watu wanaandika BP humu....wata guide najua ukiwa 100m unaanza...
 
View attachment 3232757

Yawezekana hapa ndipo penye utitiri mkubwa wa vituo vya kuuzia mafuta ya magari katika barabara ya Bagamoyo.

Kutoka Bunju pale njia panda ya Moga unaanza na Lake Oil mkono wa kushoto hadi Mapinga kabla hujapanda kilima cha Marian Boys unamaliza na TOTAL mkononwa kulia. Ni mwendo wa dakika 10, kilometres 10 kuna vituo 13 vya kuuzia petrol, na bado
Si ndiyo maendeleo?Au ulitakaje?
 
Ushapita njia ya Vingunguti - Mnyamani kutokea Barakuda, haizidi hata 6km lakini kuna utititiri wa Petrol Stations na mbaya zaidi vinajengwa katikati ya makazi ya watu.
 
Mamlaka huwa zinalala? Kuna harufu ya rushwa
Ipo siku litakuja tokea janga, watu watatafutana.

Bahati mbaya ikatokea moto kwenye hayo makazi yaliyo mkabala na hizo petrol station, vuta picha hilo bomu lake kuzingatia kuna under ground reservoirs za mafuta.
 
Ipo siku litakuja tokea janga, watu watatafutana.

Bahati mbaya ikatokea moto kwenye hayo makazi yaliyo mkabala na hizo petrol station, vuta picha hilo bomu lake kuzingatia kuna under ground reservoirs za mafuta.
Tatizo ni kwamba , gov yetu heua haina plan until yatakapotokea.
 
Ina maana kuna faida njia nzuri kuw3ka mtaji wako uzunguke taratibu lakini uhakika....sio bure...tujiongeze tufungue zile za kawaida nje ya mji huko maisha yasonge ....kuna watu wanaandika BP humu....wata guide najua ukiwa 100m unaanza...
100m inatosha kweli pamoja na kiwanja, pampu ujenzi wake pia?
 
Hii nchi tuna tabia ya kuigana biashara mtu kasikia sheli inalipa ana pesa yake benki nayeye anaenda fungua siwezi shangaa huo utitiri mdau........


Leo hii Kila nyumba ya road Ina fremu cause wamesikia zinalipa
 
Magari(wateja) mengi. Na wabongo wengi wanaweka mafuta ya 10k 15k kwahio wanahitaji sana vituo vya karibu karibu.
 
Back
Top Bottom