DOKEZO Kusua sua kwa Ujenzi wa barabara za BRT ni dalili tosha ya rushwa !

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
16,640
26,965
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, kiongozi akila rushwa katika shughuli za kiserikali, aliyepokea rushwa hana uthubutu wa kumchukulia hatua mtoa rushwa.

Wachina wanajulikana, na siyo siri, kutoa rushwa katika kupata miradi mingi ya ujenzi wa barabara.
Mfano mkubwa ni barabara za BRT mjini Dar es salaam.
Tetesi tunazisikia, lakini matokeo ya rushwa yanaonekana wazi.

Wakati wa ujenzi wa barabara ya Mwenge Morocco miaka mitano iliyopita , tulikiwa tunaona mitambo mingi na wafanyakazi wengi barabarani, na maendeleo ya kasi ktoka kwa yule mkandarasi toka Japan.

Sasa hivi mchina amejijengea himaya barabara zote toka Airport hadi Boko, Mwenge Ubungo, Ubungo Kimara.
Na mchina anaenda kwa kusuasua, hakuna lolote tunalolishuhudia barabarani ,ila mateso ya foleni.
Waziri wa Ujenzi majuzi kaleta soo barabarani kwa mkandarasi, lakini hakuna lolote linalotokea.
Barabara hizi hazikamiliki kesho wala keshokutwa.

Hiyo ni dalili tosha kuwa mchina anaona, “mtanifanya nini?”

Kila nikipita hizi barabara nakerwa sana!
Lakini ndio namkumbuka Mwalimu na maono yake kwa mtu aliyekula rushwa.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, kiongozi akila rushwa katika shughuli za kiserikali, aliyepokea rushwa hana uthubutu wa kumchukulia hatua mtoa rushwa.

Wachina wanajulikana, na siyo siri, kutoa rushwa katika kupata miradi mingi ya ujenzi wa barabara.
Mfano mkubwa ni barabara za BRT mjini Dar es salaam.
Tetesi tunazisikia, lakini matokeo ya rushwa yanaonekana wazi.

Wakati wa ujenzi wa barabara ya Mwenge Morocco miaka mitano iliyopita , tulikiwa tunaona mitambo mingi na wafanyakazi wengi barabarani, na maendeleo ya kasi ktoka kwa yule mkandarasi toka Japan.

Sasa hivi mchina amejijenbea himaya barabara zote toka Airport hadi Boko, Mwenge Ubungo, Ubungo Kimara.
Na mcina anaenda kwa kusuasua, hakuna lolote tunalolishuhudia barabarani ,ila mateso ya foleni.
Waziri wa Ujenzi majuzi kaleta soo barabarani kwa mkandarasi, lakini hakuna lolote linalotokea.
Barabara hizi hazikamiliki kesho wala keshokutwa.

Hiyo ni dalili tosha kuwa mchina anaona, “mtanifanya nini?”

Kila nikipita hizi barabara nakerwa sana!
Lakini ndio namkbuka Mwalimu na maono yake kwa mtu aliyekula rushwa.
Barabara ipi ina sua sua gentleman japo nyingi zinatarajiwa kukamilika 2027 kulingana na mikataba?🐒
 
Huu Brt ni mradi ulishafeli na it wont help people. Unaua magari ya watu njia zote zimechimbwa magari yanapita njia mbovu kisa ujenzi usiojulikana utaisha lini
 
Utekelezaji wa kazi za Ujenzi wa miradi kama hiyo inahitaji cash flow nzuri pia

Kutokana na focus kubwa ya Serikali kuwa ni Uchaguzi, nina hisi huenda flow ya Fedha una athiri Kasi ya Ujenzi wa huo Mradi
 
Sisiemu wanachoweza kufanya kwa ufasaha na kwa uhakika ni wizi wa kura
 
Utekelezaji wa kazi za Ujenzi wa miradi kama hiyo inahitaji cash flow nzuri pia

Kutokana na focus kubwa ya Serikali kuwa ni Uchaguzi, nina hisi huenda flow ya Fedha una athiri Kasi ya Ujenzi wa huo Mradi
Serikali ikiwa madarakani huwa inapanga mipango kwa kuona matukio ya miaka mitano mbele.
Sidhani kama Planners wa Wizara ya Mipango na Fedha hawakuliona hili walipoingia mikataba kufumua jiji zima la Dar es salaam.
 
Serikali ikiwa madarakani huwa inapanga mipango kwa kuona matukio ya miaka mitano mbele.
Sidhani kama Planners wa Wizara ya Mipango na Fedha hawakuliona hili walipoingia mikataba kufumua jiji zima la Dar es salaam.
Ni sahihi lakini kumbuka ulipaji wa miradi ya Serikali hutegemea ukusanyaji wa fedha kutoka hazina kupitia TRA

Kama umesikia Waziri wa Tamisemi anasema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pekee wametumia zaidi ya Bilioni 250

Vipi Uchaguzi Mkuu ambao Serikali iliyopo inataka iendelee kusalia madarakani
 
Ni sahihi lakini kumbuka ulipaji wa miradi ya Serikali hutegemea ukusanyaji wa fedha kutoka hazina kupitia TRA

Kama umesikia Waziri wa Tamisemi anasema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pekee wametumia zaidi ya Bilioni 250

Vipi Uchaguzi Mkuu ambao Serikali iliyopo inataka iendelee kusalia madarakani
Na ndio maana tunajiuliza motive ya kufumua barabara kuu za jiji la Dar es salaam, ilikuwa na vigezo vipi?
 
Kwamba hamfuatilii mpaka msikieni mitandaoni? Aisee hamko serious kabisa
Gentleman,
Ni muhimu zaidi kupokea barabara kamilifu katika muda muafaka wa kisheria kulingana na mkataba.

Ingependeza kuelezea ni eneo lipi linasuasua kwa faida ya wadau🐒
 
Ingependeza kuelezea ni eneo lipi linasuasua kwa faida ya wadau🐒

Ambae hajui kwamba BRT zinasua sua, na zilizokamilika (za Mbagala, za Chang'ombe) hazijaanza kazi, kwa sababu hazina mabasi, huyo sio mdau.

Ka hujui kuna tatizo BRT basi unaishi Copenhagen au Kiembe Samaki. Hizi njia hazikukwanishi, hazikuhusu.
 
Ambae hajui kwamba BRT zinasua sua, na zilizokamilika (za Mbagala, za Chang'ombe) hazijaanza kazi, kwa sababu hazina mabasi, huyo sio mdau.

Ka hujui kuna tatizo BRT basi unaishi Copenhagen au Kiembe Samaki. Hizi njia hazikukwanishi, hazikuhusu.
barabara zote ulizozitaja mkandarasi yuko site gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom