Kusaulika kwa nafasi ya Kijana Mvulana katika jamii

Official Ric

Member
Jun 20, 2024
8
28
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje kumsaidia huyu kijana wa kiume aliyesahaulika.

Na kwa sasa hivi hata nyinyi wazazi mtakuwa mashuhuda unakuwa na hofu kwa kijana wako wa kiume kuliko wa kike kwa sababu siku hizi kuna wimbi la Ushoga huyu kijana wa kiume yupo kwenye hatari kubwa kuliko huyu wa kike na hata jamii imemuwezesha sana kijana wa kike na kumsahau kumfundisha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu kijana wa kike aliyewezeshwa....

Lakini pia kuna hili wimbi la wamama kutoka kimapenzi na vijana wa kiume wadogo jamii hailiongelei inaliona la kawaida san lakin tunapoteza vijan wengi sana kwa sababu wengi wao wanaishia kuwapa magonjwa hawa vijana

Kusahaulika kwa kijana wa kiume tunashindwa kutengeneza wanaume jasiri na Baba bora wa baadae na hata wanaume katika jamii wanapungua Tunabaki na wavulana wengi ambao hawatasaidia ustawi wa taifa letu zuri la Tanzania na Dunia nzima kwa sababu mimi naamin tunapomtengeneza huyu kijana wa kiume kuwa bora tunahakikisha future ya Taifa ipo sehemu salama

Hivyo wito wangu kwa jamii ebu tuangalie tunamsaidiaje kijana huyu wa kiume aliyesahaulika katika jamii.
KUNA WATU WATASEMA NIKO HAPA KUWAKANDAMIZA WANAWAKE LAKINI SIYO KWELI JAMII INAHITAJI UWIANO SAWA KWA MWANAUME NA MWAMAMKE LAKINI SASA NAONA KABISA MWANAMKE AMEPEWA KIPAUMBELE SANA NA HATA ZANA HAKI SAWA HAIPO NA HILI NI TATIZO LA DUNIA NZIMA
 
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje kumsaidia huyu kijana wa kiume aliyesahaulika.
Na kwa sasa hivi hata nyinyi wazazi mtakuwa mashuhuda unakuwa na hofu kwa kijana wako wa kiume kuliko wa kike kwa sababu siku hizi kuna wimbi la Ushoga huyu kijana wa kiume yupo kwenye hatari kubwa kuliko huyu wa kike na hata jamii imemuwezesha sana kijana wa kike na kumsahau kumfundisha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu kijana wa kike aliyewezeshwa....
Lakini pia kuna hili wimbi la wamama kutoka kimapenzi na vijana wa kiume wadogo jamii hailiongelei inaliona la kawaida san lakin tunapoteza vijan wengi sana kwa sababu wengi wao wanaishia kuwapa magonjwa hawa vijana
Kusahaulika kwa kijana wa kiume tunashindwa kutengeneza wanaume jasiri na Baba bora wa baadae na hata wanaume katika jamii wanapungua Tunabaki na wavulana wengi ambao hawatasaidia ustawi wa taifa letu zuri la Tanzania na Dunia nzima kwa sababu mimi naamin tunapomtengeneza huyu kijana wa kiume kuwa bora tunahakikisha future ya Taifa ipo sehemu salama
Hivyo wito wangu kwa jamii ebu tuangalie tunamsaidiaje kijana huyu wa kiume aliyesahaulika katika jamii.
KUNA WATU WATASEMA NIKO HAPA KUWAKANDAMIZA WANAWAKE LAKINI SIYO KWELI JAMII INAHITAJI UWIANO SAWA KWA MWANAUME NA MWAMAMKE LAKINI SASA NAONA KABISA MWANAMKE AMEPEWA KIPAUMBELE SANA NA HATA ZANA HAKI SAWA HAIPO NA HILI NI TATIZO LA DUNIA NZIMA
Ustawi wa Taifa inafikirisha kidogo
Nafikiri hapo ndo tatizo lilipo anzia
 
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje kumsaidia huyu kijana wa kiume aliyesahaulika.
Na kwa sasa hivi hata nyinyi wazazi mtakuwa mashuhuda unakuwa na hofu kwa kijana wako wa kiume kuliko wa kike kwa sababu siku hizi kuna wimbi la Ushoga huyu kijana wa kiume yupo kwenye hatari kubwa kuliko huyu wa kike na hata jamii imemuwezesha sana kijana wa kike na kumsahau kumfundisha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu kijana wa kike aliyewezeshwa....
Lakini pia kuna hili wimbi la wamama kutoka kimapenzi na vijana wa kiume wadogo jamii hailiongelei inaliona la kawaida san lakin tunapoteza vijan wengi sana kwa sababu wengi wao wanaishia kuwapa magonjwa hawa vijana
Kusahaulika kwa kijana wa kiume tunashindwa kutengeneza wanaume jasiri na Baba bora wa baadae na hata wanaume katika jamii wanapungua Tunabaki na wavulana wengi ambao hawatasaidia ustawi wa taifa letu zuri la Tanzania na Dunia nzima kwa sababu mimi naamin tunapomtengeneza huyu kijana wa kiume kuwa bora tunahakikisha future ya Taifa ipo sehemu salama
Hivyo wito wangu kwa jamii ebu tuangalie tunamsaidiaje kijana huyu wa kiume aliyesahaulika katika jamii.
KUNA WATU WATASEMA NIKO HAPA KUWAKANDAMIZA WANAWAKE LAKINI SIYO KWELI JAMII INAHITAJI UWIANO SAWA KWA MWANAUME NA MWAMAMKE LAKINI SASA NAONA KABISA MWANAMKE AMEPEWA KIPAUMBELE SANA NA HATA ZANA HAKI SAWA HAIPO NA HILI NI TATIZO LA DUNIA NZIMA
Nashauri jamaa kupewa ulinzi
 
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje kumsaidia huyu kijana wa kiume aliyesahaulika.
Na kwa sasa hivi hata nyinyi wazazi mtakuwa mashuhuda unakuwa na hofu kwa kijana wako wa kiume kuliko wa kike kwa sababu siku hizi kuna wimbi la Ushoga huyu kijana wa kiume yupo kwenye hatari kubwa kuliko huyu wa kike na hata jamii imemuwezesha sana kijana wa kike na kumsahau kumfundisha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu kijana wa kike aliyewezeshwa....
Lakini pia kuna hili wimbi la wamama kutoka kimapenzi na vijana wa kiume wadogo jamii hailiongelei inaliona la kawaida san lakin tunapoteza vijan wengi sana kwa sababu wengi wao wanaishia kuwapa magonjwa hawa vijana
Kusahaulika kwa kijana wa kiume tunashindwa kutengeneza wanaume jasiri na Baba bora wa baadae na hata wanaume katika jamii wanapungua Tunabaki na wavulana wengi ambao hawatasaidia ustawi wa taifa letu zuri la Tanzania na Dunia nzima kwa sababu mimi naamin tunapomtengeneza huyu kijana wa kiume kuwa bora tunahakikisha future ya Taifa ipo sehemu salama
Hivyo wito wangu kwa jamii ebu tuangalie tunamsaidiaje kijana huyu wa kiume aliyesahaulika katika jamii.
KUNA WATU WATASEMA NIKO HAPA KUWAKANDAMIZA WANAWAKE LAKINI SIYO KWELI JAMII INAHITAJI UWIANO SAWA KWA MWANAUME NA MWAMAMKE LAKINI SASA NAONA KABISA MWANAMKE AMEPEWA KIPAUMBELE SANA NA HATA ZANA HAKI SAWA HAIPO NA HILI NI TATIZO LA DUNIA NZIMA
Matokeo yake ndio tunayoyaona sasa huku tukiamini watoto wakiume wanauwezo wa kuhimili na kukabiliana na changamoto kuliko wa kike suala la ushoga linachangiwa na mambo mengi sana ikiwemo wazazi kutokuwa na muda na watoto wa kiume,tamaa,umaskini wa kipato pamoja na sera zetu za mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ..mpaka sasa hakuna tamko lolote kuhusiana na ushoga kama alivyofanya rais wa Uganda...Msimamo wa nchi na serikali kwa ujumla wake ni muhimu sana huenda tukawaokoa baadhi ya vijana.
 
Hili swala liliongelewa Sana bungeni, ushoga, panya road hii ndio sababu kubwa ya kusahaulika kwa mtoto wa kiume.
Maadamu waziri wa jinsia Dorothy Gwajima yupo hapa ni vema akaja na Mkakati wa kuwagomboa vijana wa kiume.
 
Siyo wanisaidie kulea vijana wa kiume wanachangamoto nyingi sana ambayo mpka ss Hivi jamii haitak kuwaongelea kbsa
 
Habari zenu wanajukwaa
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kwa kipindi cha hivi karibuni jamii imemuwezesha sana mtoto wa kike na kumsahau kabisa mtoto wa kiume je sisi kma jamii tunafanyeje kumsaidia huyu kijana wa kiume aliyesahaulika.

Na kwa sasa hivi hata nyinyi wazazi mtakuwa mashuhuda unakuwa na hofu kwa kijana wako wa kiume kuliko wa kike kwa sababu siku hizi kuna wimbi la Ushoga huyu kijana wa kiume yupo kwenye hatari kubwa kuliko huyu wa kike na hata jamii imemuwezesha sana kijana wa kike na kumsahau kumfundisha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu kijana wa kike aliyewezeshwa....

Lakini pia kuna hili wimbi la wamama kutoka kimapenzi na vijana wa kiume wadogo jamii hailiongelei inaliona la kawaida san lakin tunapoteza vijan wengi sana kwa sababu wengi wao wanaishia kuwapa magonjwa hawa vijana

Kusahaulika kwa kijana wa kiume tunashindwa kutengeneza wanaume jasiri na Baba bora wa baadae na hata wanaume katika jamii wanapungua Tunabaki na wavulana wengi ambao hawatasaidia ustawi wa taifa letu zuri la Tanzania na Dunia nzima kwa sababu mimi naamin tunapomtengeneza huyu kijana wa kiume kuwa bora tunahakikisha future ya Taifa ipo sehemu salama

Hivyo wito wangu kwa jamii ebu tuangalie tunamsaidiaje kijana huyu wa kiume aliyesahaulika katika jamii.
KUNA WATU WATASEMA NIKO HAPA KUWAKANDAMIZA WANAWAKE LAKINI SIYO KWELI JAMII INAHITAJI UWIANO SAWA KWA MWANAUME NA MWAMAMKE LAKINI SASA NAONA KABISA MWANAMKE AMEPEWA KIPAUMBELE SANA NA HATA ZANA HAKI SAWA HAIPO NA HILI NI TATIZO LA DUNIA NZIMA
Tatizo lilianzia wapi? Nini chanzo cha jamii kuamua kumuwezesha mtt wa kike?
 
Tatizo lilianzia wapi? Nini chanzo cha jamii kuamua kumuwezesha mtt wa

Tatizo lilianzia wapi? Nini chanzo cha jamii kuamua kumuwezesha mtt wa kike?
Tatizo lilianza pale tulipoanza harakati za haki sawa ambalo lilikuw ni Jambo zuri lakin sasa hivi mimi naona siyo haki sawa ni kupendelea Jinsia moja juu ya nyingine hakuna usawa Tena
Wanaume wanapitia Mengi ambayo hawataki kuyaweka Hazarani na Hicho ndo kinachomponza kijana wa Kiume
 
Back
Top Bottom