Kuporomoka Kwa Thamani ya Sarafu ya Tanzania Yaishusha Kiuchumi Hadi namba 11 Afrika.Kenya Imetanua Gap huku Uganda &DRC Ikitukaribia

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
69,106
77,412
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na IMF imeonesha kwamba Tanzania imeshuka kutoka 10 Bora ya Nchi Zenye Uchumi Mkubwa Afrika Hadi kuwa namba 11 ikipitwa na Nchi za Ghana huku ikikaeibiwa zaidi na DRC.

Kwa mujibu wa Wachumi,kilichosababisha kuporomoka Kushuka ni kuporomoka Kwa Thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ambayo ndio inatumika kukokotoa Ukubwa wa Uchumi wa Nchi.

Hata hivyo ielewe kwamba Uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka USD 69bln (2021) Hadi USD 85bln (2025) lakini kuyumba Kwa Shilingi kumechangia kuwa Nje ya Top 10.

Full report hapa World Economic Outlook - All Issues

View: https://x.com/AfricaViewFacts/status/1915030771963752794?t=7cmBNGb-3MdAyJLtaQqnhw&s=19

My Take
Juhudi za Kuimarisha thamani ya Shilingi ziendelee.

Ni vyema pia ikaeleweka kwamba IMF wametoa kinachoitwa Matarajio (Outlook) ya mwaka 2025.

July mwaka huu WB itatoa takwimu halisi za Kiuchumi (GDP) Kwa mwaka wa 2024.
1745355813547.jpeg
 
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na IMF imeonesha kwamba Tanzania imeshuka kutoka 10 Bora ya Nchi Zenye Uchumi Mkubwa Afrika Hadi kuwa namba 11 ikipitwa na Nchi za Ghana huku ikikaeibiwa zaidi na DRC.

Kwa mujibu wa Wachumi,kilichosababisha kuporomoka Kushuka ni kuporomoka Kwa Thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ambayo ndio inatumika kukokotoa Ukubwa wa Uchumi wa Nchi.

Hata hivyo ielewe kwamba Uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka USD 67bln (2021) Hadi USD 85bln (2025) lakini kuyumba Kwa Shilingi kumechangia kuwa Nje ya Top 10.
View attachment 3313023

My Take
Juhudi za Kuimarisha thamani ya Shilingi ziendelee.
View attachment 3313024
Tutuba oyeeeeee
 
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na IMF imeonesha kwamba Tanzania imeshuka kutoka 10 Bora ya Nchi Zenye Uchumi Mkubwa Afrika Hadi kuwa namba 11 ikipitwa na Nchi za Ghana huku ikikaeibiwa zaidi na DRC.

Kwa mujibu wa Wachumi,kilichosababisha kuporomoka Kushuka ni kuporomoka Kwa Thamani ya Sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ambayo ndio inatumika kukokotoa Ukubwa wa Uchumi wa Nchi.

Hata hivyo ielewe kwamba Uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka USD 67bln (2021) Hadi USD 85bln (2025) lakini kuyumba Kwa Shilingi kumechangia kuwa Nje ya Top 10.

Full report hapa World Economic Outlook - All Issues
View attachment 3313023

My Take
Juhudi za Kuimarisha thamani ya Shilingi ziendelee.
View attachment 3313024
MamaSamia2025 amefeli kabisa kiuchumi
 
Ifike wakati uache ujinga.
Gdp ya nigeria imeshuka mpaka $188 bn kutoka $400+ bn ??

Ghana ime jump kutoka $60+ mpaka $88bn ?
Leo hii kenya inauchumi mkubwa kuliko Ethiopia?
Ukisikia kutumia kichwa kama round about ya hewa ndio huko.
Nani Sasa aache ujinga? Mimi au IMF? Harafu wale ni Wataalamu sio mbulula kama wewe.

Kilichotokea Kwa Tanzania ndio kimetokea Kwa Nigeria na Ethiopia.

Nigeria mwaka huu ndio second worst performing currency baada ya Tanzania ,so unashangaa nini?

Acha kuropoka,wewe ni layman wa Uchumi
 
Back
Top Bottom