Mkuu,sidhani kama ina umuhimu!tume ya nyalali ilitoa pendekezo la kufuta sheria kandamizi 40+,hiyo hapo ikiwemo,pia tume ilishauri madaraka ya raisi yapunguzwe...ukitaka turudi miaka ya 80 huoni kuwa haki nyingi za kiraia zitakuwa zimevunjwa?mbona kuna sheria nyingi za kumaliza ilo tatizo,pasipo kumtegemea raisiccb,dpp et al
Asante mkuu.Mimi nadhani kwa hapa ilipofikia nchi yetu hii sheria inafaa sana....kwani hata wezi na mafisadi pamoja na walanguzi wa mihadarati wana athiri haki za binaadamu......
Hebu chukulia kiongozi anayehujumu mradi wa maji kijijini kwa manufaaa yake na familia anawaathiri vipi wananchi kupata maji safi na salama na hivyo kuhatarisha usalama wao na wengi wao kufa kutokana na magonjwa ya milipuko kama taiphodi na kipindu pindu...je kiongozi kama huyu anastahili vipi kubaki uraiani wakati hata kwa matendo yake na tamaa zake anaathiri haki za binaadamu wenzake kuishi....???
Chukulia mfano kigogo anayefahamika kuingiza madawa ya kulevya...je kigogo huyo anaathiri na kuharibu maisha ya vijana wangapi....kila mmoja wetu ni shahidi wa utitiri wa mateja huko mitaani na wengine ni ndugu zetu kabisa......je wewe ungefurahia kumuona nduguyo akiwa katika hali ile ya uteja....sasa mlanguzi wa madawa ya kulevya anastahili kukaa mahakamani kusikiliza kesi wakati tunafahamu ni jinsi gani mahakama zetu zinavyonuka rushwa......mtu kama huyu anatakiwa akamatwe mara moja na kuwekwa kizuizini.....kwa kuwa kukamatwa kwake kutazuia usambaaji wa madawa mitaani hasa kwa yale yaliyokuwa kwenye imaya yake na pengine anaweza akasaidia kupatikina kwa mtandao wote wa madawa na hivyo kuondosha kabisa kadhia hiyo......
Sio siri yapo mambo ya ajabu mengi ndani ya taifa hili ambayo yamewekwa mizizi na mifumo yetu mibovu ya kiuongozi na kiutawala......hivyo inatakiwa kiongozi mwenye maamuzi magumu na ya busara kwa faida kwa taifa ili kuweka mambo sawa.....ule muda wa kuchekeana na kubembelezana mahakamani usiwepo tena kwani ndio uliotufikisha hapa tulipo....kama ikiwezekana hizo sheria zifumuliwe upyaaa...hao watu watakaokutwa na hatia za kuhujumu mali za umma wachinjwe kabisa hadharani.......tumechoka sasa...
Usinisahihishe ujinga hiyo typographic error na smart phone sio Mimi if you can't Contribute on the thread don't pose your noisense here. Mimi nimeenda shule sina elimu ya photocopy au vyeti vya kugushi. Respect yourself.
Usinisahihishe ujinga hiyo typographic error na smart phone sio Mimi if you can't Contribute on the thread don't pose your noisense here. Mimi nimeenda shule sina elimu ya photocopy au vyeti vya kugushi. Respect yourself.
Hahaha kuna shule inafundisha mtu ujinga?isipokuwa yule anakalia kukosoa keyboard ya phone ndio mjinga.= nonsense
= kughushi
Inaonesha hiyo shule ulienda kusomea ujinga.
Nimekuuliza swali juu huko kutokana na mada yako hujajibu. Kulikoni?
Hahaha kuna shule inafundisha mtu ujinga?isipokuwa yule anakalia kukosoa keyboard ya phone ndio mjinga.
Sote tunatumia hiyo "keyboard ya phone". Upuuzi uandike wewe usingizie keyboard, labda hujuwi kuitumia.
Naam, kuna shule zinafundisha ujinga, mojawapo ni hiyo uliyokwenda wewe.
Celebtricity.com
Nimeifata hiyo link nimekutana na habari murwa kabisa:
Beauty Queen Turned Flight Attendant Busted at Airport With $3 Million in Cocaine
Naam, hiyo ni habari ya kweli kabisa na hata ukienda kwenye mainstream [credible] media ipo.
Ipo CNN, ipo FOX News, ipo USA Today, ipo WSB-TV, ipo AJC, ipo AP, ipo Reuters, ipo Yahooo News, na kadhalika.
Uwepo wa hiyo habari kwenye hicho chanzo chako haimaanishi hicho chanzo kuwa si cha tashtiti.
Soma hapa chini [kama unaweza kusoma na kuelewa].
Celebtricity.com is the most notorious entertainment website in the world with the most shocking Satire News to keep its visitors in a state of disbelief.
Please feel free to send us your inquiry or any questions below.
We will contact you shortly !
Thanks !!!
Advertise/Contact Us
Hivi kwanini watu wanakua na ID'S zaidi ya moja ? Halafu mbaya zaidi utumiaji wa hizo ID'S tofauti unalandana ?Naam, hiyo ni habari ya kweli kabisa na hata ukienda kwenye mainstream [credible] media ipo.
Ipo CNN, ipo FOX News, ipo USA Today, ipo WSB-TV, ipo AJC, ipo AP, ipo Reuters, ipo Yahooo News, na kadhalika.
Uwepo wa hiyo habari kwenye hicho chanzo chako haimaanishi hicho chanzo kuwa si cha tashtiti.
Soma hapa chini [kama unaweza kusoma na kuelewa].
Celebtricity.com is the most notorious entertainment website in the world with the most shocking Satire News to keep its visitors in a state of disbelief.
Please feel free to send us your inquiry or any questions below.
We will contact you shortly !
Thanks !!!
Advertise/Contact Us