Kuoa wanawake wengi sio dhambi

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Jun 3, 2018
1,110
2,710
Kuoa wanawake wengi sio dhambi , dhambi inakuja pale mwanaume unaposhindwa kutimiza majukumu yako kwa kila mwanamke. Mifano ya watumishi wa Mungu kwenye biblia walioa wanawake wengi ipo mingi sana ila inashangaza kuona ukristo unapiga vita ndoa za wanawake wengi. Ila ushauri wangu kwa Dunia ya sasa yenye changamoto za kiuchumi na magonjwa mengi usioe wanawake wengi
 
Akina polygamy subirini kwanza tuuzime moto, wanawake wapo tu
 
F611A0D5-10C8-443F-B460-39BDB443EC4F.jpeg
 
Ila ushauri wangu kwa Dunia ya sasa yenye changamoto za kiuchumi na magonjwa mengi usioe wanawake wengi
Umeanza vizuri ila umehitimisha vibaya, hivi sasa changamoto za ndoa ni nyingi suluhisho ni bandika bandua
 
Kuoa wanawake wengi sio dhambi , dhambi inakuja pale mwanaume unaposhindwa kutimiza majukumu yako kwa kila mwanamke. Mifano ya watumishi wa Mungu kwenye biblia walioa wanawake wengi ipo mingi sana ila inashangaza kuona ukristo unapiga vita ndoa za wanawake wengi. Ila ushauri wangu kwa Dunia ya sasa yenye changamoto za kiuchumi na magonjwa mengi usioe wanawake wengi
Ukristo ulienezwa na wazungu.
Kuoa mke mmoja ni utamaduni na mila za wazungu.
Mungu kuumba adamu na hawa sio msingi wa ndoa ya mke mmoja.
Ndoa za mke mmoja ndio zao la michepuko.
Na ndio maana hata walioko kwenye ndoa wana wenzao pembeni.
Kwani nani hana?
 
Tumuigenu mfalme Suleiman (King Solomon) bila kumsahau Nabii Abraham
 
Kuoa wanawake wengi sio dhambi , dhambi inakuja pale mwanaume unaposhindwa kutimiza majukumu yako kwa kila mwanamke. Mifano ya watumishi wa Mungu kwenye biblia walioa wanawake wengi ipo mingi sana ila inashangaza kuona ukristo unapiga vita ndoa za wanawake wengi. Ila ushauri wangu kwa Dunia ya sasa yenye changamoto za kiuchumi na magonjwa mengi usioe wanawake wengi
Mmoja tu kuhudumia Mbinde 😜😅😅
 
Back
Top Bottom