KERO Kuna wimbi la michango Shuleni hasa Shule za Msingi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mbali na kwamba tuna elimu Bure lakini sasahivi Shule za Msingi kuna utitiri wa Michango (Tozo) mfano mzuri ni Shule ya Msingi Mapinga iliyoko Bagamoyo, kata ya Mapinga. Kuna utitiri wa Michango
1. Mchango wa Hela ya mlinzi 3000/=
2. Hela ya Mtihani ni sh 6700 kwa mwaka
3. Hela ya jiko Tsh 4000/=
4. Hela ya Chakula Tsh 1000/=
5. Mchango wa kulipia Chakula kwa ajili ya wasimamizi 2000/=
✓ wanafunzi wanarudishwa Nyumbani wakikosa Moja ya Michango hiyo. Mfano leo wanafunzi zaidi ya 15 wamerudishwa hawana hela ya mitohani ya midterm 1200
✓Lakini pia Kumekuwepo na walimu wanafanya biashara za karanga ni kitu kizuri lkn kero ni Ile wanawalazimisha wanafunzi kununua karanga zao.
Hii haijaishia tu Shule za Misingi imeenda Moja Sekondary.
Serikali itoe Mwongozo wa Hili kwa sababu na shule nazo zimekuwa TRA kwa wanafunzj.
This is
Chima, Miraji
 
Mbali na kwamba tuna elimu Bure lakini sasahivi Shule za Msingi kuna utitiri wa Michango (Tozo) mfano mzuri ni Shule ya Msingi Mapinga iliyoko Bagamoyo, kata ya Mapinga. Kuna utitiri wa Michango
1. Mchango wa Hela ya mlinzi 3000/=
2. Hela ya Mtihani ni sh 6700 kwa mwaka
3. Hela ya jiko Tsh 4000/=
4. Hela ya Chakula Tsh 1000/=
5. Mchango wa kulipia Chakula kwa ajili ya wasimamizi 2000/=
✓ wanafunzi wanarudishwa Nyumbani wakikosa Moja ya Michango hiyo. Mfano leo wanafunzi zaidi ya 15 wamerudishwa hawana hela ya mitohani ya midterm 1200
✓Lakini pia Kumekuwepo na walimu wanafanya biashara za karanga ni kitu kizuri lkn kero ni Ile wanawalazimisha wanafunzi kununua karanga zao.
Hii haijaishia tu Shule za Misingi imeenda Moja Sekondary.
Serikali itoe Mwongozo wa Hili kwa sababu na shule nazo zimekuwa TRA kwa wanafunzj.
This is
Chima, Miraji
Hakuna elimu buree
 
Michango yote uliyoorodhesha haifik elfu 20 Kwa mwaka.

Ama kweli ujamaa umetulemaza , tunahuba na bwana bure. Lini kitu cha bure kikawa na maana?

By the michango huwa si maamuzi ya walimu Bali huamriwa kwenye vikao vya WAZAZI.
 
Mbona ni kawaida ndg Mzazi,wenzio tunatoa karibia 48 kwa mwaka huku Arusha
Changia mwanao apate elimu bora
 
Yaan serous mtu unalalamika michango ambayo haifiki hata 50 kwa mwaka!!? Kweli tuna kizazi cha ajabu sana!! Halafu watu wa deazaini hii nina uhakika vikao vya wazazi huwa hawaudhurii yaan unataka mwanao apate elimu Bora halafu michango kidogo umeashaanzisha Uzi if!!
 
Back
Top Bottom