Kuna wengine ni Manabii hapa duniani hata kama kwa Wivu na Chuki za Kibinadamu kamwe hamtowakubali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,929
122,055
Haji Manara pole sana ila kwa Tabia zako ambazo hata Nduguzo wanazichukia nilijua tu hutodumu kamwe na Zaylisa. Halafu naona kila kona Watu wanampongeza Mange Kimambi wakati GENTAMYCINE hapa hapa JamiiForums miezi kadhaa iliyopita na hata juzi kati (Threads zipo JamiiForums) nilisema kuwa Haji Manara hatoweza Kudumu mwaka mmoja na huyu Zaylisa kwa tabia zake ambazo Watu wa Ilala Bungoni na Buguruni Malapa alikokulia (japo sasa anaishi Ushuani) wanazijua.

Ifike muda sasa GENTAMYCINE ajengewe / nijengewe Mnara wangu JamiiForums kwani niyasemayo kwa 95% hujitokeza.
 
Tatizo lake Kubwa haswa ni kupenda kupita Mlango HATARI KIBAIOLOJIA usiotakiwa na Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu.
Jamaa anajifanya mtoto wa mjini lkn vitendo vyake vinaonesha wazi kuwa ni wa bush na ubush haumtoki.

Hakuna mjanja wa mjini anaeingia katika mapenzi kwa miguu yote miwili bila kupima kwanza urefu wa kina. Siku nyingine kabla ya kufanya maamuzi awatafute hata PM kimya kimya mumpe ushauri halaf ndo aje public kuongea anachotaka kufanya. Bila hivyo ataendelea kuumbuka siku hadi siku.
 
NOMA SANA
Na makuwadi wake Wakubwa ni Dada zake Wawili wanaoshibana nae mno ambapo Jamaa (Kaka Mtu) bila hata ya Aibu huwa akiwatuma wakamtafutie Wanawake huwapa Sharti hilo Kuu kuwa ni lazima wahakikishe hao Wanawake ambao Wanamkuwadia wanapenda kwenda CHOONI (hapa najua Watoto wa Mjini) mtakuwa mmenielewa vyema kabisa.
 
Na makuwadi wake Wakubwa ni Dada zake Wawili wanaoshibana nae mno ambapo Jamaa (Kaka Mtu) bila hata ya Aibu huwa akiwatuma wakamtafutie Wanawake huwapa Sharti hilo Kuu kuwa ni lazima wahakikishe hao Wanawake ambao Wanamkuwadia wanapenda kwenda CHOONI (hapa najua Watoto wa Mjini) mtakuwa mmenielewa vyema kabisa.
Mbona na yeye ni choo.
 
Back
Top Bottom