Kuna wanaume wanapotaka kuoa hawatumii akili zao vizuri, huishia kuangukia mikononi mwa makahaba. Mwisho huishia kulizwa.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
13,937
40,213
Hello shalom.
Wanaume bora katika jamii wapo, pia wanawake bora katika jamii wapo.
Ni vyema wahuni waoane wenyewe kwa wenyewe ili kupunguza hizi kelele za kutuhumiana usailiti, kuuana na kusambaratisha familia.
Yes, hakuna mwenye haki ya kufanya cheating ndani ya ndoa ila nature inaonyesha kuwa ni aibu kubwa, ni mwiko mkubwa na ni fedheha kubwa binti aliyeolewa kucgepuka.
Ni aibu isiyoelezeka.
Kwakuwa Mimi ni mwanaume nitawapa sign wanaume wenzangu za kumtambua mwanamke malaya au mwanamke mwenye tamaa ya Dunia. Mwanamke ambaye ukimwoa hutamtuliza kwa cheo chako au fedha zako.
Na kama utatumia fedha au cheo chako kumdhibiti asicheat basi utatumia gharama kubwa na utakuwa mtumwa wake. Narudia tena, utaweza kumdhibiti asicheat ila utatumia gharama kubwa.
•Binti ukimwona anapenda sana kwenda na fashion. Ikitoka nguo mpya sokoni hatulii mpaka aipate. Huyo usimwoe
• Binti anayejipamba kwa vitu bandia kama kucha, kope mawigi. Huyo mwache aolewe na muhuni mwenzake. Hutoweza kumtuliza.
• Binti ambaye almost mda wake mwingi yuko online kwenye social media. Awe darasani, jikoni, kwenye daladala nk yeye online. Huyo huwezi kumtuliza .
•Binti ambaye ameshawahi kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango kabla hajaolewa. Humwezi
•Binti ana ma ex wengi mpaka hisia za mapenzi hana. Wapo mabinti friendly nimewahoji wanasema hawatakuja kumpenda tena mwanaume lakini hapo ana boyfriend na wanashiriki kila jambo.
 
Tunashukuru kwa Maelezo mazuri ya Upande Wetu ME,,,Nilikuwa naomba na wa upande wa pili KE waje Watueleze na wao Kwa Upande wao,,Kama hawatajali lakini.....Hapo Vipi!!Hapoo!!(in Mh:Makongoro's voisi)
 
Fanya simple vetting.
Kama mtu utaishi naye kwenye ndoa miaka 40-50 unashindwa kupoteza siku 2 umfuatilie dama to dama?
Wakati mwanamke malaya anataka kuolewa hutumia counter intelligence kubwa, kila ukiuliza unakutana na habari zake njema. Ukiona ukumbi umejaa wahuni jua wamekuja kumshangaa bwana harusi alivyo mjinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom