MhhhhKama una kipara na huna pesa basi kipara ni sawa na Sola pannel
MhhhhhhKama una kipara na huna pesa basi kipara ni sawa na Sola pannel
Duuh solar panel ahahah umevunja mbavu zanguKama una kipara na huna pesa basi kipara ni sawa na Sola pannel
mbona billiget ni tajiri namba 1 duniani na hana upara,rostam ni tajiri namba 2 Tanzania na Dangote ni namba 1 afrika bthawana vipara-au mnazungumzia utajiri wa kutoka nywele kichwaniUpara una uhusiano wa moja kwa moja na utajiri
mbona billiget ni tajiri namba 1 duniani na hana upara,rostam ni tajiri namba 2 Tanzania na Dangote ni namba 1 afrika bthawana vipara-au mnazungumzia utajiri wa kutoka nywele kichwani
kwa taarifa yako upala ni ugonjwa-tafuta daktari akuelezee
Kipara ni useless kama huna helaDuuh solar panel ahahah umevunja mbavu zangu
Huyo ndiye mwenyewe sasa. Maakili yalikuwa mengi mpaka kumzidia.Mbona huku kwetu kuna mwendawazimu ana kipara.....