Kuna nini kimejificha nyuma ya hawa warembo wanaouza karanga mtaani?

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Mar 22, 2016
811
1,238
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
Kwani wewe hujajua tu mbinu za dada poa?hizo karanga ni Geresha tu hapo wapo kazini bro.
 
Hayo ni mabadiliko ya kibiashara katika kutafuta customer attraction,

Attraction marketing hiyo,
it's a strategy where customers are attracted to purchase something without being told to do so,

Siku hizi hata makondakta wa Mabasi unakuta ni wadada warembo tofauti na zamani.
 
Hayo ni mabadiliko ya kibiashara katika kutafuta customer attraction,

Attraction marketing hiyo,
it's a strategy where customers are attracted to purchase something without being told to do so,

Siku hizi hata makondakta wa Mabasi unakuta ni wadada warembo tofauti na zamani.
sawa mkuu, kumbe mbinu ni nyingi
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze


Ajabu sana, unahoji sababu ya watu kufanya biashara, mind set ya hovyo sana hiyo.
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
[/QUOTE
Hao wamesha wasoma wabongo wamepungukiwa kwenye madishi yao/vichwa na wamesha ambiwa hiyo ni dawa ya dish/kichwa kuyumba pia nao wanafisi ajira,na uwezo wa kutengeneza ajira wanao🤪.Vinginevyo iwe ni namna mpya na rahisi ya kufikisha mihadarati kwa urahisi kwa wateja wao🤔
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani
hasa mida ya jioni ,
 
Back
Top Bottom