Kuna nini kati ya maji Uhai na Kilimanjaro?

BigBro

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
3,582
11,592
Nimetembea mikoa mingi Tanzania, kasoro Lindi, Mtwara, Shinyanga na Kigoma, mikoa yote upatikanaji wa maji ya Kilimanjaro ni wa uhakika na sijaona maji ya Uhai. Inamaana Uhai imeshindwa kupenya soko la maji mikoani? Huwa najiuliza sana. Uhai utayakuta Moro na Tanga tu. Interest yangu ni kujua tu maana kuna biashara nataka kuanzisha inayofanana na maji.
 
Maji mazuri Kilimanjaro,uhai maji ya waarabu
Uhai ni maji ya watu wa kipato cha kawaida ,hebu nenda kwenye duka la karibu la mangi ulizia kati ya maji ya Kilimanjaro na uhai yapi yanauzwa kwa wingi obviously atakuambia uhai

Kilimanjaro mazuri sana lakini umekosea point moja maji ya uhai ni maji ya masikini na wenye vipato vya kawaida na sio ya waarabu

Na bahati tu Abbas kandoro alipiga vita Yale maji ya uhai ya 50tsh
 
Yaani kwa tabora,katavi na sumbawanga huku kuna dew drop wanatamba sana, pia Kilimanjaro wameteka soko sana kuliko wengine
 
Kilimanjaro aiingia sokoni mapema ndiyo maana unaona ametapakaa kila mkoa ni sawa na gesi kampuni ya oryx kaingia sokoni muda mrefu so wapinzani wake inakuwa vigumu kumshusha
Yes Kilimanjaro aliingia mapema sokoni na pia yanapewa support na serikali ( Kuwa endorsed na serikali )
 
Brand ya maji ya kilimanjaro ni Coca -cola so unaweza ona hiyo tofauti na products zingine.
 
Mkuu tofauti kubwa iliyopo kati ya product hizi mbili ni potential of hydrogen yaani ph, kilimanjaro ina kiasi kidogo cha acid na base kulinganisha na uhai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…