Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 26,419
- 80,697
Angalieni, Kama ni Wizi kufanyika, Report ya CAG imejiweka wazi yenyeweee!!.
Ila hatujawahi sikia Serikali imechukua Hatua yoyote Kwa Wahusika.
Sasa angalia Maajabu, Majuzi hapa, Mbunge Mrisho Gambo, Kwa "Takwimu na shahidi" aliwekwa wazi namna gan Ujenzi wa jengo la utawala Arusha ,Kuna wahuni wamepiga Hela.
Sasa kipigo anachopewa Gambo Kwa Sasa, jamaa hapumui Wala kuhema.
Hii yote, ni lile Kundi ambalo Linataka Paul Makonda awe Rais , wanajitahidi Kumtetea sana ili aendelee kuonekana ni mzuri na mwema !!.
Ila hatujawahi sikia Serikali imechukua Hatua yoyote Kwa Wahusika.
Sasa angalia Maajabu, Majuzi hapa, Mbunge Mrisho Gambo, Kwa "Takwimu na shahidi" aliwekwa wazi namna gan Ujenzi wa jengo la utawala Arusha ,Kuna wahuni wamepiga Hela.
Sasa kipigo anachopewa Gambo Kwa Sasa, jamaa hapumui Wala kuhema.
Hii yote, ni lile Kundi ambalo Linataka Paul Makonda awe Rais , wanajitahidi Kumtetea sana ili aendelee kuonekana ni mzuri na mwema !!.