Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,803
- 5,365
Kama ilivyo mitandao mingine tigo nivushe,voda songesha pia nimeona halo mkopo,lakini hawa halo mkopo...Mbona kila siku wanadai huduma hii itakujia punde...Vp tatizo ni nini...Finca mnafeli wapi