johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,695
Mtumishi wa Umma anapaswa Kustaafu Kwa lazima yaani Kwa mujibu wa sheria afikishapo umri wa miaka 60 na KADA nyingine miaka 65
Kustaafu Kwa hiyari ni kuanzia miaka 55
Na unaweza Kustaafu/Kustaafishwa Kwa Manufaa ya Umma bila kujali umri
Unaweza kujifunza zaidi Kwa case study ya Laigwanan Lowassa na Mzee Ndugai
Ahsanteni sana 😃
Kustaafu Kwa hiyari ni kuanzia miaka 55
Na unaweza Kustaafu/Kustaafishwa Kwa Manufaa ya Umma bila kujali umri
Unaweza kujifunza zaidi Kwa case study ya Laigwanan Lowassa na Mzee Ndugai
Ahsanteni sana 😃