Kuna kila sababu ya kuilinda Kariakoo dhidi ya shughuli zozote za kisiasa!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
20,818
24,749
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
 
Hebu rudia kuandika tena, maana hukaeleweka kabisa .

Huamini kuwa Samia anaogopa no reforms no election?

Nawashanggaa ninyi mnaompambqnia na kumuita huyu mzanzibari mwanamke "mama". Halafu watoto wake Abdul na Wanu wanakulq bata tu
 
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
ni muhimu sana,
vibaka na magenge ya waporaji na matapeli wanaojikusanya na kuiingia sokoni hususani kariakoo kwa kujificha kwenye mgongo wa siasa, wasiruhusiwe kabisa wala wasipewe fursa ya kupora wafanyabiashara na kusumbua shughuli za kiuchumi katika eneo hilo la kimkakati,

OCD wa msimbazi apewe onyo kali sana kwa kuchelewa kuact na kuwachewesha vibaka hao hadi kuleta taharuki sokoni kwa wafanyibiashara na wateja :NoGodNo:
 
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
CCM wamefanya mikutano hapo majuzi, hapohapo Kariako.

Vipi unasemaje??
 
zipo kumbi za kisasa za mikutano Mlimani City, JNICC, The Super Dome, unaenda kubugudhi biashara za watu, hayo mambo yenu ya siasa yanatuhusu nini? hawa jamaa wakija akiriakoo wanunue chupi za jumla waende sio kuharibu mifumo ya uchumi

80% ya uchumi wa nchi uko dar, tusiruhusu mambo yakishenzi, zitengwe kumbi maalumu kwa shughuli za kisiasa au social events, huu mji unamfaa makonda hawa jamaa wasingetia mguu,
 
ni muhimu sana,
vibaka na magenge ya waporaji na matapeli wanaojikusanya na kuiingia sokoni hususani kariakoo kwa kujificha kwenye mgongo wa siasa, wasiruhusiwe kabisa wala wasipewe fursa ya kupora wafanyabiashara na kusumbua shughuli za kiuchumi katika eneo hilo la kimkakati,

OCD wa msimbazi apewe onyo kali sana kwa kuchelewa kuact na kuwachewesha vibaka hao hadi kuleta taharuki sokoni kwa wafanyibiashara na wateja :NoGodNo:
No Reforms No Election 🔥! Vilaza wa Mama shida tupu!
 
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
Wee kilaza wa Samia CCM hukuwaona walipofanya mkutano hapo!
 
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
Labda kama huna akili, Hiyo Kariakoo unayoisema ina wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani na Wabunge, unadhani walifanyaje kampeni?
 
Labda kama huna akili, Hiyo Kariakoo unayoisema ina wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani na Wabunge, unadhani walifanyaje kampeni?
New formulary zinakuja, kibaka wenu ameshaachiwa kesho nendeni naye mwembe yanga, baada ya kupata vibali husika
 
Wamekosa watu huko, mwembe yanga, wakatuhumu watanzania ni wa Hovyo, eti wanapenda sana simba na yanga!,

Hawa watu ni wajinga kiasi gani, kwani wanashindwa kutofautisha ya kwamba kuna wakati wa michezo na wakati wa siasa, nikimaanisha vyote hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile kwani hata michezo ni sehemu ya ajira kwa zama hizi,

Kwa maoni yangu, tufanye siasa huko pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, mf. Katika viwanja vya mwembe yanga, jangwani, Bunju na kadhalika,

Sababu za kimsingi ni kulinda usalama wa maeneo yetu tegemewa ya kibiashara, kulinda wageni wanaokuja kwa misingi ya kibiashara ili wasipate kero za wanasiasa uchwara,

Nikimaanisha hata misafara ya kisiasa isiruhusiwe kusogelea eneo la kibiashara kariakoo, wafanye maandamano yao umbali wa mita 500 kutoka kariakoo ilipo ili kulinda soko ili adhimu la kimataifa,

WASALAAM.
Wewe utakuwa ni wale from ile timu ya kuupiga mwingi au timu wanyonge
 
zipo kumbi za kisasa za mikutano Mlimani City, JNICC, The Super Dome, unaenda kubugudhi biashara za watu, hayo mambo yenu ya siasa yanatuhusu nini? hawa jamaa wakija akiriakoo wanunue chupi za jumla waende sio kuharibu mifumo ya uchumi

80% ya uchumi wa nchi uko dar, tusiruhusu mambo yakishenzi, zitengwe kumbi maalumu kwa shughuli za kisiasa au social events, huu mji unamfaa makonda hawa jamaa wasingetia mguu,
Hahahahah kumbe na wewe ni Sukuma gang, mwaka huu akili zitawakaa maana huko upande wenu mnapigwa na S100 na upande mwingine ndiyo hivyo tena No Reforms no Election. Sukuma gang sijui kwa sasa mko upande gani
 
Back
Top Bottom