Kuna habari kitaa huku zinasemekana zimetoka toka tareh 15 zinahusu kujitolea kufanya kazi wizara ya afya mwisho kutuma maombi ni tarehe 30 mwezi Wa 05 huu.!
Maombi yote yanafanywa kwa DMO..!!
KUNA MWENYE UKWELI WA HABARI HIZI MAANA WIZARA HAWAELEWEKI JAMANI..!!