Kuna bia za kike na za kiume?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
48,153
69,517
Kwa nini wanaume wanaokunywa bia za Savannah, Redd's na Flying Fish wanatazamwa vibya au kutaniwa?

Hizi tabia nimeziona kwenye hizi bar za kati na changanyikeni. Mwanaume akiagiza hizi bia kwenye hizi bar hata muhudumu anamuuliza mara mbili mbili kuthibitisha kama amesikia vizuri alichoagizwa!
 
Screenshot_20250204-115624~2.jpg
 
Hiyo ni mitazamo tu kwa sababu bia zote za light kwa sababu zina kilevi kidogo na laini zinachukuliwa ni za kike.

Na zile zenye kilevi kikubwa na nzito lagers zinachukuliwa ni za kiume .

Ila mtu yeyote anaweza tumia bia yoyote tu kulingana na matakwa yake.
 
kwasababu hulka na mapokeo ya jamii yanaamini vitu vyenye utamu utamu maranyingi huwa ni vyawanawake!, zote ulizotaja hapo zina u sweet ndani yake na hilo li flying fish ndo kama juice kwajinsi lilivyo litamu!..

Redd's na savannah ni Cider kwasababu zinatengenezwa na apple!.
so ishu ni mapokeo tu wala hakuna bia yakike na yakiume!.

Moja kati ya bia nayoikubali ktk hii dunia ni Heineken na Serengeti lager.
 
kwasababu hulka na mapokeo ya jamii yanaamini vitu vyenye utamu utamu maranyingi huwa ni vyawanawake!, zote ulizotaja hapo zina u sweet ndani yake na hilo li flying fish ndo kama juice kwajinsi lilivyo litamu!..

Redd's na savannah ni Cider kwasababu zinatengenezwa na apple!.
so ishu ni mapokeo tu wala hakuna bia yakike na yakiume!.

Moja kati ya bia nayoikubali ktk hii dunia ni Heineken na Serengeti lager.
Wanaume ndio wanaoongoza kunywa Pepsi!
 
Back
Top Bottom