GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,379
- 120,660
Akina GENTAMYCINE tukisema JF kuwa Timu inayoshinda kwa Uwezo wake wenyewe wa Uwanjani ni Simba SC mnakataa.
yanga anaiua kwa kusambaza bahasha alianza kumpa jamaa nyau akamwachia 5-1 kaja jana kaongeza fungu kaachiwa 6-1 tarehe 8 inaweza kuwa 7-1Ligi yetu externally Inakua lakini internally inakufa.
Makocha wa nje wanaokuja kufundisha bongo ndo wanaoweza kuliona hili kirahisi zaidi au ukiwa sio mshabiki wa simba au yanga unaweza kuliona pia.
Tusiende mbali mkuu ebu nitajie kikosi cha kwanza cha kmc,,ukimaliza nitajie vikosi vya kwanza vyote vilivyopigwa na yanga chuma 4 na kuendelea baada ya hapo tutakuwa na cha kujadili!Akina GENTAMYCINE tukisema JF kuwa Timu inayoshinda kwa Uwezo wake wenyewe wa Uwanjani ni Simba SC mnakataa.
Dogo umerogwa, unatupigia makelele unnecessary. Weka video tuone wenyeweAkina GENTAMYCINE tukisema JF kuwa Timu inayoshinda kwa Uwezo wake wenyewe wa Uwanjani ni Simba SC mnakataa.
Utopolo gsm kazinunua team 6yanga anaiua kwa kusambaza bahasha alianza kumpa jamaa nyau akamwachia 5-1 kaja jana kaongeza fungu kaachiwa 6-1 tarehe 8 inaweza kuwa 7-1
Wataje na majina acha kubwabwaja tu. Hao waandamizi ambao hawakucheza ni kina nani?Akina GENTAMYCINE tukisema JF kuwa Timu inayoshinda kwa Uwezo wake wenyewe wa Uwanjani ni Simba SC mnakataa.
Ligi yetu externally Inakua lakini internally inakufa.
Makocha wa nje wanaokuja kufundisha bongo ndo wanaoweza kuliona hili kirahisi zaidi au ukiwa sio mshabiki wa simba au yanga unaweza kuliona pia.
Utopolo gsm kazinunua team 6
unaongea upumbavuWachezaji 9 wa first eleven jana wameanzia benchi, kali yanga alishavuta bahasha yake mapema.
Baada ya kufungwa 6 kwa 1 akamaliziwa hela yake. Wachezaji wa kmc wamelalamika sana kutokana na hujuma dhidi yao.
Ukitoa penati 4 walizopewa yanga mechi ilitakiwa iwe sare.
mkuu hapa umedandia treni kwa mbele kwa kukusaidia katazame kikosi kilicho cheza na azam tarehe 06.02.2025 na azam kushinda goli 2-0 ndicho kikosi kilicho chezea 6-1 kwa wananchiWachezaji 9 wa first eleven jana wameanzia benchi, kali yanga alishavuta bahasha yake mapema.
Baada ya kufungwa 6 kwa 1 akamaliziwa hela yake. Wachezaji wa kmc wamelalamika sana kutokana na hujuma dhidi yao.
Ukitoa penati 4 walizopewa yanga mechi ilitakiwa iwe sare.