Kumdekeza Mpenzi wako mbele za watu ni uungwana au ni ujinga?

GadoTz

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
368
634
Unapokuwa na mpenzi wako mbele za watu either sokoni, barabarani,hotelini,club,beach nk huku ukionyesha mahaba kwa kumbembeleza na kumdekeza kama mtoto mdogo je,ni ishara ya u-gentleman au ni ujinga?
10464199_10205895991023883_2993243571839652440_n.jpg

Mfano kumfungulia mlango wa gari.
10891814_10205920017784537_3137001847727376758_n.jpg


Kumbebea mizigo yake.
10881588_10205912430754866_1524704062332807064_n-1.jpg

Kumsaidia kuvaa vizuri vitu vyake.
young-beauty-girl-feeding-boy-strawberry-14109902.jpg

Kumlisha chakula
670px-Carry-a-Girl-Step-4.jpg

Kumbeba
 
Siyo ujinga, ni kufuata maisha yako na kile unachopendelea kufanya.

Kama isemavyo mwanamke ni pambo, kwani pambo unalitunza kwa mikiki mikiki. Linatunzwa kwa unyenyekevu endapo ataona thamani ya kile unachomfanyia.
Siyo tu kumfungulia mlango wa gari unamsindikiza na busu kwenye paji la uso wakati anaingia kwenye gari.
Inategemea ni mizigo ya aina gani, siyo viroba vilivyoshiba huo utakuwa ukuli na siyo mahaba, na siyo pochi wala mikoba.
Kumlisha chakula ina maana kubwa sana, kwa sababu mara nyingine husababisha muanze kunyonyana ndimi kwa hisia.
Kumbeba siyo hatari na ni moja ya kujenga utani na urafiki wa karibu zaidi. Mara nyingi kubebana kunamalizikia faragha.
 
Weng wanaofnya hivyo ni wale walio kwenye spotlight.
Life of a cerebrity.

Kikwetu kwetu......beba kipimajoto chako mwenyewe.

Mlango wa gari .....kuna remote chop chop...

Unataka kufunguliwa mlango njoo ufungue wa dereva kwanza ndo nikufungulie.
 
Yani kulishana ni siku ya harusi tu, tena kwa ajili ya video.

Ivi yale maigizo wa wadada kwenye harusi, tena utakuta na litumbo la mimba ndii, anatembelea magoti kumlisha au kupeleka keki kwa wakwe, je huwa ni applicable kwenye real life?
 
Tamthiliya, dramaz then kesho anakuacha walimwengu tutakumbuka mbwembwe zenu tu halafu tutaendelea na maisha yetu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom