Kwa kweli tumepoteana, sasa hivi kiongozi wetu mkuu hana confidence katika afanyanyo kwa vile hakupata nafasi ya kujihusisha na mambo yanayohusu wengine nje ya nchi na hajiamini.
Tunafedheheka jamani!
Magufuli anajitahidi sana kwenye diplomasia, ndio maana mara nyingi huwa anatuma wawakilishi.Viongozi wote wa nchi hii waliopita walikuwa very competent ndani na nje ya nchi kiasi cha kutamaniwa na kuhitajika kuongoza jumuiya mbalimbali za kimataifa au kusuluhisha migogoro katika nchi nyingine ilikuwa hivyo kwa Nyerere, Mwingi, Mkapa na Kikwete; ni hapa tu ndio tumebugi. Lakini tuna nafasi ya kusahihisha October.
Kuwa competed kuliisaidia nini hii nchi? Tanzania imetumia rasilimali muda na fedha kwa ajili ya mataifa mengine, ambayo hata hayatusaidii! Ni wakati wa kuijenga nchi yetu, kwani ukipata sifa za marehemu kama hizo au ukiongoza mashirika ya ukanda zinasaidia nini! Go magufuri go, tumechelewa sana kwa ajili ya wengine!Viongozi wote wa nchi hii waliopita walikuwa very competent ndani na nje ya nchi kiasi cha kutamaniwa na kuhitajika kuongoza jumuiya mbalimbali za kimataifa au kusuluhisha migogoro katika nchi nyingine ilikuwa hivyo kwa Nyerere, Mwingi, Mkapa na Kikwete; ni hapa tu ndio tumebugi. Lakini tuna nafasi ya kusahihisha October.
Hizi zinaitwa nanihiii mshindoMagufuli anajitahidi sana kwenye diplomasia, ndio maana mara nyingi huwa anatuma wawakilishi.
Ile CV na PhD ndani imetuingiza kushotoViongozi wote wa nchi hii waliopita walikuwa very competent ndani na nje ya nchi kiasi cha kutamaniwa na kuhitajika kuongoza jumuiya mbalimbali za kimataifa au kusuluhisha migogoro katika nchi nyingine ilikuwa hivyo kwa Nyerere, Mwingi, Mkapa na Kikwete; ni hapa tu ndio tumebugi. Lakini tuna nafasi ya kusahihisha October.
Sio tu amefeli vibaya kwenye diplomasia, bali imekuwa aibu, kwa mara ya kwanza Tz inaonekana undiplomatic,j wakati zamani sisi ndio tulikuwa tunawakusanya viongozi wa Africa na kuwapa somo. Mfano SADC karibu ingevunjika, EAC ipo mashakani sasa sijui haambiliki au ni kiburi gani, kweli ni hatari sana kuwa na mtu kama huyu afadhali tubadilishe mapema October.Magufuli anajitahidi sana kwenye diplomasia, ndio maana mara nyingi huwa anatuma wawakilishi.
Dah..nimecheka sana.....bado hampo siriazSio tu amefeli vibaya kwenye diplomasia, bali imekuwa aibu, kwa mara ya kwanza Tz inaonekana undiplomatic,j wakati zamani sisi ndio tulikuwa tunawakusanya viongozi wa Africa na kuwapa somo. Mfano SADC karibu ingevunjika, EAC ipo mashakani sasa sijui haambiliki au ni kiburi gani, kweli ni hatari sana kuwa na mtu kama huyu afadhali tubadilishe mapema October.
Kwani hao watawala walikuwa wa chama gani? Na huyu jiwe ni wa chama gani? Tuanzie hapo!Kuwa competed kuliisaidia nini hii nchi? Tanzania imetumia rasilimali muda na fedha kwa ajili ya mataifa mengine, ambayo hata hayatusaidii! Ni wakati wa kuijenga nchi yetu, kwani ukipata sifa za marehemu kama hizo au ukiongoza mashirika ya ukanda zinasaidia nini! Go magufuri go, tumechelewa sana kwa ajili ya wengine!