NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,923
Mfano kuna kijana anatengeneza vifaa vya umeme kama radio na tv, ana ofisi nzuri tu inayoaminika. akitengeneza tvau radio yako inarudi katika hali yake na unaweza kuendelea kuitumia bila tatizo
Huyu kijana tayari ana elimu ya umeme ila hajasoma akafaulu mtihani wowote unaohusu umeme, kama kasoma basi ni veta. Inamaana kumbe inawezekana tukawa na elimu bila kufaulu mitiani ya elimu ya juu kisha utendaji ukaamua nani ni kaelimika ?
Hapo hapo yupo graduate mwenye degree kutoka UDSM au DIT ambaye amefaulu kwa A za kutosha lakini hana hiyo elimu ya kutengeneza vifaa vya umeme na atahitaji muda tena kuipata elimu.
Huyu kijana tayari ana elimu ya umeme ila hajasoma akafaulu mtihani wowote unaohusu umeme, kama kasoma basi ni veta. Inamaana kumbe inawezekana tukawa na elimu bila kufaulu mitiani ya elimu ya juu kisha utendaji ukaamua nani ni kaelimika ?
Hapo hapo yupo graduate mwenye degree kutoka UDSM au DIT ambaye amefaulu kwa A za kutosha lakini hana hiyo elimu ya kutengeneza vifaa vya umeme na atahitaji muda tena kuipata elimu.