Kulogin udsm Aris

kapinga p

Member
Jul 30, 2018
33
3
Wakuuu Kama kichwa kinavyojieleza ni kwamba naomba mnisaidie Aris yangu inafail kufunguka kila nkijaza username and password but still haifunguki litakuwa nin tatzo?
 
Mkuu umefeli, unadhani wote humu wanasoma udsm na kuanzia level zoote za uongozi hata kwa wanafunzi wenzio umeshindwa ulizia suala kama hili!! Wapigie Daruso!! Masuala mengine muwe mnafikiria ndo maana huwa tunapigwa majungu Udsm!!
 
Wakuuu Kama kichwa kinavyojieleza ni kwamba naomba mnisaidie Aris yangu inafail kufunguka kila nkijaza username and password but still haifunguki litakuwa nin tatzo?
so hii ndo helpdesk ya aris udsm?wasomi njaa bana!!kweli common sense is not common
 
Aris inafunguka bila matatizo yeyote.. Mbona hata ya kwangu inafunguka vizuri tu,kuna some mistake unafanya
 
Nilifungiwa matokeo nkaverify ada toka hapo kila nkifungua naambiwa failed na Kama nmedisco kwann hawaruhusu nione matokeo yang
 
Hyo username yako na password unaingizaje
Username c reg no yangu na password ni sirname
Screenshot_20181120-081406.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20181120-081406.jpg
    Screenshot_20181120-081406.jpg
    28.5 KB · Views: 28
Wakuuu Kama kichwa kinavyojieleza ni kwamba naomba mnisaidie Aris yangu inafail kufunguka kila nkijaza username and password but still haifunguki litakuwa nin tatzo?
Upo mwaka wa ngapi? Nenda ARIS pale library watakusaidia au department yako kwamtu anaehusika Na Aris atakusaidia. Ungekua CoNAS ningekueleza, Mimi mwenyew kipindi nilikumbwa na mikasa hiyo mwaka wa kwanza.
 
Nko mwaka wa 3 nilienea library wakaniuliza unadaiwa but nkasema hapana na nilifungiwa matokeo Mana niliambiwa nadaiwa lak 650000 ada ya semester nkaverify
 
Nko mwaka wa 3 nilienea library wakaniuliza unadaiwa but nkasema hapana na nilifungiwa matokeo Mana niliambiwa nadaiwa lak 650000 ada ya semester nkaverify
Nenda department, au college yako hapo watakurekebishia.
 
Nko mwaka wa 3 nilienea library wakaniuliza unadaiwa but nkasema hapana na nilifungiwa matokeo Mana niliambiwa nadaiwa lak 650000 ada ya semester nkaverify
Alafu kijana inakuaje hadi mwaka wa 3 bado unatumia surname, binadamu tunatofautiana wahuni wanaweza kua wamekuotea kisha wakabadirisha password. We chamsingi fuata ushauri tulip kupatia.
 
Hay Asante,,, surname nmepewa smartcard maana hata password ya mwanzo nilkuwa nkifungua inagoma thaty y wakabadlisha,,ok Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom