Wewe unataka afanye nini?Magufuli amekua vuvuzela kwenye sakata la zanzibar.
Akae kimya kama alivyosema ila ajue mawe yatapiga mayowe.
Amuogope Mungu na afanye maamuzi magumu na Ya haki. Asimame kwenye ukweliWewe unataka afanye nini?
Magufuli yupo sahihi kwa sababu hiziKwa suala la Zanzibar JPM amebugi
Kubugi ndio nini?Kwa suala la Zanzibar JPM amebugi
Tatizo la Zanzibar sio la cuf na ccm, hilo ni la kihistoria zaidi, Mwacheni Magufuli msimuangushie jumba bovu.Magufuli amekua vuvuzela kwenye sakata la zanzibar.
Akae kimya kama alivyosema ila ajue mawe yatapiga mayowe.
Bora tupotee kuliko kuwa wanasiasa Vivuli Wakati nyinyi mkizidi kutunyonya..Msiposhiriki uchaguzi ndo mnapotea kwenye ramani ya Siasa!
Wewe unataka afanye nini?
Wewe unataka asifanye nini??Wewe unataka afanye nini?
"Ujinga ni kuendelea kurudia na Uchaguzi kwa Tume ileile na namna ileile huku ukitegemea matokeo tofauti"Angesema serikali za JMT na SMZ zinaendelea kulitafutia ufumbuzi, nadhani inge sound better zaidi kuliko ya "nitaendelea kukaa kimya"....
Kwa sbb akikaa kimya mwisho wa siku ili iweje na unaona kabisa hilo ni tatizo?
Au angesema kwa haerufi kubwa tu kuwa, suluhisho la huko ni hilo la Uchaguzi wa
marudio, CUF shirikini au bakini na msimamo wenu wa kususia!!
Naomba ieleweke hapa, kuwa, ufumbuzi ni pamoja na kuwashawishi CUF wakubali kushiriki uchaguzi.