Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 24,912
- 47,836
Juzi hapa kakamatwa kijana aliejifanya kuwa ni officer wa jeshi la JWTZ umri maika 24 kuna vitu JWTZ wanatakiwa kubadilisha cha kwanza vitamburisho
Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa
Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta
Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama
Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh
Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana
Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa
Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta
Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama
Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh
Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana