Kuhusu Luteni feki wa JWTZ: Jeshi liboreshe alama zake zinazoweza kufojiwa kirahisi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
24,912
47,836
Juzi hapa kakamatwa kijana aliejifanya kuwa ni officer wa jeshi la JWTZ umri maika 24 kuna vitu JWTZ wanatakiwa kubadilisha cha kwanza vitamburisho

Vitambulisho vinavyotumiwa na wanajeshi wa JWTZ bado ni vyepesi mtu kutengeneza waige kutoka usalama wa taifa kile kitambulisho chao mpaka ukitengeneze ni kasheshe sana tofauti na JWTZ ambavyo mtu anaweza enda stationary aka kitengeneza ndio maana wanaibuka vijana wengi wakijifanya ni askari wa JWTZ na kukamatwa

Kingine kitendo cha yule kijana kukamatwa na polisi kwangu naona kama dosari fulani polisi anakuwa wakwaza kupata taarifa uku IO wajeshi wapo ambao walitakiwa kumjua before ya polisi kumjua, hii nitofauti na usalama mtu akijifanya usalama wa taifa kabla ajakamatwa na polisi wao wanakuwa wakwanza kumjua mara nyingi wao ndio wanamjua na wanamshuguhulikia kimya kimya akitoka salama hawezi simulia kilicho mkuta

Bado najiuliza maswali mengi sana ila sipati majibu ila mimi naona shida kubwa ipo kwenye vitambulisho bado nalia hapo ndio naona source watengeneze vitambulisho ambavyo ni thabit na sio hivi ambavyo vimepitwa na wakati waige kama vya usalama

Pia Simiyu yupo mshauri wa jeshi la akiba pale mkoa na wapo wasaidizi wake pia ina maana hawakuwai kukutana na huyu kijana najua askar yoyote wakikutana kuna mambo mkiongea mtajua tu huyu askari miaka 24 anakuwa ltn kaajiliwa lini chuo kaenda lini kamaliza lini na TMA kamaliza lini mh

Muhimbili pia matapeli wanaingia pale kwasababu symbol zao ni nyepesi mfano ukiwa mfanya kazi wa pale ili aingie wordin ni lazima awe na koti jeupe kama hana kitambulisho sasa kwa mfumo uhu amuoni mianya ya kuingiza matapeli ipo wazi kabisa na mtu anaweza akaingia na akamchoma mgonjws sindano ya sumu na akatoka kwasababu symbol zao ni nyepesi sana
 
Bongo vitu vingi tunapangwa sana.Sio tu vitambulisho dogo alikuwa na sare za jeshi pia. Kwahiyo nazo zinachapishwa stationary sio?(anaweza kuwa alizipata kwa njia nyingine)

Logic yangu hapa ni kwamba mifumo yote imepwaya hata unaosema sijui usalama wa taifa nao ni wale wale hawana jambo la kushangaza kihivyo(ni sawa na wale walikuwa wakipamba shirika la ujasusi la Israel lakini Hamas kawapiga tukio ambalo mpaka leo wanabembeleza wapatiwe mateka)

Kingine polisi kumkamata huyo dogo nadhani ni kazi yao msingi kuliko JW kufanya hivyo
 
Shida sio kuwa luteni kwa miaka 24. Kuna vijana wengi tu kwa sasa wana nyota mbili. Ninachojiuliza huyo Emmanuel alitoa wapi zile sare, badge pamoja na baadhi ya nyaraka za kambi aliyodai anatokea
Kaka vijana sawa wapo ila umri unakataa ata kama umeingia chomboni ukiwa na elimu ya darasa la saba bado inagoma ata wale formsix wanaoenda kule kumbuka kuna miaka 3 ya kusoma military science bado umri unagoma lazima ukatae kwa miaka 24 pia kuna mwaka mmoja wa pale TMA bado

Kuhus nguo nahisi ni kutokana na kitambulisho uenda alienda kununua izo sare mgulani akaonyesha kitambulisho wakampa au alijitambulisha kwa njia ya simu kuwa p..,,,,,, wakamtambua kuwa ni afisa kumbe sio
 
Wee unawaza km mie, sare zenye Nembo kabisa za vyeo husika, yeye alipataje?.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kuna vitu mtu akisha jua kuhus jwtz ni vyepesi kupata nguo izo uwenda alitafuta namba za pale mgulan akapiga simu akajitambulisha wakamuamini wakizituma zile sale na name tage kabisa kutokana na kujua no za maafisa wa jwtz zina anzia vip
 
Luteni wa umri huo sasa hivi kwa kupitia BMS ni Uongo,
Labda form six aliye wakuchomekewa na Regular.
Hakuna ajabu hivyo vyote FBO vinapatikana si mmeleta Jeshi la Kamlete. 🤣🤣🤣 Hapo kwenye vitambulisho ndio Aibu at least vile vya pili vya MP
 
Bongo vitu vingi tunapangwa sana.Sio tu vitambulisho dogo alikuwa na sare za jeshi pia. Kwahiyo nazo zinachapishwa stationary sio?(anaweza kuwa alizipata kwa njia nyingine)

Logic yangu hapa ni kwamba mifumo yote imepwaya hata unaosema sijui usalama wa taifa nao ni wale wale hawana jambo la kushangaza kihivyo(ni sawa na wale walikuwa wakipamba shirika la ujasusi la Israel lakini Hamas kawapiga tukio ambalo mpaka leo wanabembeleza wapatiwe mateka)

Kingine polisi kumkamata huyo dogo nadhani ni kazi yao msingi kuliko JW kufanya hivyo
kupata sio ngumu ndio maana kapata kujua zile namba za maafisa na kutengeneza kitambulisho teyari kupata nguo ni vyepesi anaweza jitambulisha kwa mtu au muuzaji pale dukani na waka muamini outokana na mtu kutoweza kukalili namba zote za watu ila ni kujua kuwa namba z askr ni tofauti na za maafisa basi

Kuhusu polisi sio sawa jwtz kuna IO hiyo ni kazi yake pia kutambua watu kama hao matapeli pale simiyu kuna askari pia hawakuwai kukutana nao?
 
Luteni wa umri huo sasa hivi kwa kupitia BMS ni Uongo,
Labda form six aliye wakuchomekewa na Regular.
Hakuna ajabu hivyo vyote FBO vinapatikana si mmeleta Jeshi la Kamlete. 🤣🤣🤣 Hapo kwenye vitambulisho ndio Aibu at least vile vya pili vya MP
Vya MP ni ngumu ila hivi vya askari ata cha mwanafunzi wa mzumbe kizuri ndio maana mimi nalia nasema naomba vibadirishwe kabisa ni aibu sana kutoa kile kitambulisho mbele za watu
 
Huyo inawezekana ni luteni halisi na siyo wa uwongo.Hivi vyombo vinatabia ya kuwakataa watumishi wake endapo akionekana anavunja miiko kazi yake(Sheria za Nchi).Ikitokea amekamatwa na polisi,Cha kwanza wanamwita ni feki lakini wanamalizana nao chini Kwa chini ili kuiepusha taasisi husika kupakwa matope.kwenye kijiwe chetu Cha kahawa mmoja wa member amesema Hivyo.Hoja ya umri kuwa ni mdogo ni dhaifu.
 
Back
Top Bottom