kisiki kizito JF-Expert Member Jul 3, 2015 676 858 Jan 4, 2017 #1 Wakuu poleni na majukumu yakujenga taifa ningeomba kujua taratibu za kupata kitambulisho cha mpiga kura kilichopotea,,, nikiwa na Maana YA je! Unaweza pewa kingine na kama ndiyo process gani za kufuataa,, ahsanteni
Wakuu poleni na majukumu yakujenga taifa ningeomba kujua taratibu za kupata kitambulisho cha mpiga kura kilichopotea,,, nikiwa na Maana YA je! Unaweza pewa kingine na kama ndiyo process gani za kufuataa,, ahsanteni