Kuhujumiana: Kuna siku Simba mtacheza na timu itayopanga kwa makusudi kikosi dhaifu na sijui mtajiteteaje

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,313
152,113
Leo hii ni Yanga na unaweza kuta Yanga wala hawakuhusika na upangaji wa kikosi cha Singida Big Stars bali huenda ilifanywa makusdi wapate la kusema.

Kwahiyo, kama Yanga walihujumiwa ili wachafuliwe,. basi siku si nyingi na Simba yatawkuta.

Si lazima timu ipange kikosi dhaifu, bali zinaweza tumika mbinu nyingine za tofauti kabisa kama timu kususia mchezo ili Simba ipate point za bure, mchezaji kuunawa mpira kwa makusudi, n.k mradi tu ipatikane sababu ya kuwachafua kama tunavyoona kwa Yanga leo hii.
 
Kwani hata hiko kikosi kigumu cha Singida si kilifungwa na Yanga mzunguko wa kwanza.

Au singida alishinda?

Singida kafungwa na KMC 2 -0 ka draw na Kagera sugar ila watu wanaona Yanga kushinda haiwezekani mpaka apangiwe kikosi dhaifu!

Na zaidi ya akili mbovu.
 
kipindi Gamondi alivtofanya rotation ya kikosi na kuweka kikosi cha pili, IHEFU ikaifanga yanga magoli mawili kwa moja, hukusikia beewa lolote likiongelea haya mapipa yanayoongelewa leo.

simba wanaongea halafu wao hawana timu ya kuifunga yanga, wahsajua kabisa tarehe 8 hawatoboi, sasa wanataka wanaume wenzao wawasaidie kumfunga yanga . subutu.

kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom