Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 237
- 421
Habari wadau!
Naandika habari hii kwa kuona kwamba kuna Sumu hatari sana kwenye maisha au jamii ya sasa zikiuzwa peupe bila mkono wa serikali kuingilia kati.
Watu wengi wamekuwa wakijtoa uhai kwa sumu mbalimbali mitaani kwetu na wengine wamekuwa wakinunua hizi sumu na kuweka ndani kwa kujua au kutokujua kwamba ni hatari.
Ushauri wangu usihifadhi sumu ndani ukishamaliza kutumia kwan ni hatari sana kwako na familia yako.
Mfano wa sumu. Dawa ya kukausha nyasi shambani, ni hatari sana kuhifadhi ndani hasa nyumba zenye watoto.
Sumu ya panya sio ya kuweka ndani kabisa. Hakikisha ukimaliza kutumia dawa yako ni bora hata kopo ukalitupa shimo la choo.
Naandika ujumbe huu baada ya mtoto wa familia moja kunywa sumu ya shambani na kufa Mbeya vijijini.
Nimeandika baadhi ya sumu ila kuna sumu haina nyingi sana mengine ni maua tunayopanda ndani ya nyumba niliona mama mmoja alichomwa na mwiba wa ua aliteseka sana mguu ulivimba sana.
Kama unajua baadhi ya sumu ambazo zijataja na hatari zipo mtaani embu elimisha jamii iwe makini. Kwa pamoja tuelimishe jamii.
Naandika habari hii kwa kuona kwamba kuna Sumu hatari sana kwenye maisha au jamii ya sasa zikiuzwa peupe bila mkono wa serikali kuingilia kati.
Watu wengi wamekuwa wakijtoa uhai kwa sumu mbalimbali mitaani kwetu na wengine wamekuwa wakinunua hizi sumu na kuweka ndani kwa kujua au kutokujua kwamba ni hatari.
Ushauri wangu usihifadhi sumu ndani ukishamaliza kutumia kwan ni hatari sana kwako na familia yako.
Mfano wa sumu. Dawa ya kukausha nyasi shambani, ni hatari sana kuhifadhi ndani hasa nyumba zenye watoto.
Sumu ya panya sio ya kuweka ndani kabisa. Hakikisha ukimaliza kutumia dawa yako ni bora hata kopo ukalitupa shimo la choo.
Naandika ujumbe huu baada ya mtoto wa familia moja kunywa sumu ya shambani na kufa Mbeya vijijini.
Nimeandika baadhi ya sumu ila kuna sumu haina nyingi sana mengine ni maua tunayopanda ndani ya nyumba niliona mama mmoja alichomwa na mwiba wa ua aliteseka sana mguu ulivimba sana.
Kama unajua baadhi ya sumu ambazo zijataja na hatari zipo mtaani embu elimisha jamii iwe makini. Kwa pamoja tuelimishe jamii.