Subhana Allah, basi si watoe maelezo walivyoshindwa. Tuache siasa penye maisha ya mtanzania.
Hapa kuna wawili wanahitajikakutueleza ukweli.
1. Serakali inayo uwezo mkubwa wa kulifuatilia jambo hilo na kutufafanulia yaliyojiri mpaka kutoweka kwa mtanzania mwenzetu. Wanvyo vyombo muhimu kwa shughuli hizi.
2. Chadema nao wanao uwezo kutufafanualia mengi sana , na ukweli ukapatikana.
Kuna kitu hizi taasisi mbili zinazijua na wanatuficha , liko jambo . Cha kushangaza Chadema kama hakuna wanalolificha au kuhusika kwa vyovyote wasinge nyamaza kimya, wangelitumia hili jambo kisiasa kuikashifu serekali , mbona issue ya Wema na wengine wanayabeba kichwani, lakini hili la kada maarufu wa chadema haliwastui. Tutaona watakuja na msimo wa kupindisha ukweli .
Serakali nayo inazidi kujiingiza gizani kwa kulifunga jalada. Au sijui ndio mbinu mpya za uchunguzi.