Mtu mwenye line atakua analipa sh 1000 kwa mwezi na sh 12000 kwa mwaka kama income tax
Usisahau kushare na mwenzako
View attachment 3306110
π
π
π
π
Hoja yako siyo mpya.
Imewahi kupendekezwa na Zungu, Naibu Spika.
Ikashindikana.
CCM imewahi kuchungulia miamala ya Mpesa, Tigo pesa inapitisha trillions ikaweka Tozo juu ya Kodi, watu wakaanza kukwepa kutumia miamala ya simu, serikali ikapunguza ila bado ipo ipo.
Lakini pia, hoja yako ni ya kizuzu na ya kukwepa uwajibikaji.
Kila vocha mtu anayonunua inakatwa VAT.
Kwenye elfu 1000, kuna Kodi ya 300.
Na vocha ni moja. Ukinunua nyingi, kila siku ni zaidi ya hiyo 1,000.
Lakini ulivyo, kiazi watu wanatumikiswa kwenye viwanda bila mikataba huoni tatizo, ila tatizo unaliona ni watu walipe 1000 kwa serikali na siyo kuweka masharti kwa wamiliki wa viwanda kutoa mikataba ili watu walipe kodi.
Hoja nyingine ya ovyo, eti kwa watanzania milioni 60. Qquma kabisa, hiyo 60 ni mpaka watoto wadogo.
Watu wenye nguvu ya kufanya kazi wanaoingiza kipato hawazidi 30 milioni.