Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 48,241
- 34,731
Wanaukumbi.
⚡️Vyombo vya habari vya Israeli:
Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa.
Si haba wauaji wa watoto wanazidi kupata haki yao nao wajue uchungu wa vifo.
Leo majeruhi wengi kati ya wanajeshi wa Israel kutoka kaskazini mwa Israel, Golan na Gaza, walihamishiwa hospitalini.
⚡️Vyombo vya habari vya Israeli:
Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa.
Si haba wauaji wa watoto wanazidi kupata haki yao nao wajue uchungu wa vifo.
Leo majeruhi wengi kati ya wanajeshi wa Israel kutoka kaskazini mwa Israel, Golan na Gaza, walihamishiwa hospitalini.