Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,546
Leo ndio nimegundua kwanini kanda ya ziwa inaongoza kwa kesi nyingi za kansa...na magonjwa ya matumbo.
Maelfu ya samaki wameonekana wakielea juu ya mto Mara inasemekana wamekufa kutokana na athari za sumu zinazomwangwa ktk mto huo kutoka mgodi wa North Mara.
Serikali ipo wapi?
Hii issue ingetokea Ulaya, sasa hivi ingekuwa issue nyingine.
Serikali haijali afya ya watu wake...kuna faida gani ya kuwa na wawekezaji wanao hatarisha maisha ya raia?
No one Cares, kuanzia leo Sato Sangara bye bye.
Maelfu ya samaki wameonekana wakielea juu ya mto Mara inasemekana wamekufa kutokana na athari za sumu zinazomwangwa ktk mto huo kutoka mgodi wa North Mara.
Serikali ipo wapi?
Hii issue ingetokea Ulaya, sasa hivi ingekuwa issue nyingine.
Serikali haijali afya ya watu wake...kuna faida gani ya kuwa na wawekezaji wanao hatarisha maisha ya raia?
No one Cares, kuanzia leo Sato Sangara bye bye.